Natafuta soko la vifaranga wa kuku wa kienyeji wa umri wa week moja.
pia natafuta soko la kuku wakubwa wa kienyeji.
kwa mawasiliano: 0713722589. tupo dar maeneo ya tabata
Habari wakuu
kwa muda mrefu nimekua nikisumbuliwa na maumivu ya kiuno na mgongo, kuwashwa njia ya haja kubwa, tumbo kuunguruma mara kwa mara na kujaa gesi na kichefuchefu.
kuna baadhi ya watu wananambia tatzo laweza kuwa amiba sugu:
please jaman kwa yeyote mwenye dawa iwe ya vidonge au...
Salaam sana Rafiki zangu
Kama kichwa kinavojieleza, ni kuwa nimepoteza simu yangu na ilikua ni msaada mkubwa sana kwangu
Nifanyeje niweze kuipata, IMEI ninayo
msaada tafadhali mwenzenu sina hali
habari wakuu,
nimeona ni vyema kama nikishea na ninyi mkasa huu mfupi wa wizi nilioushuhudia siku kadhaa zilzopita. wanawake kuweni makini sana na mikoba yenu mnapokua mpo kwenye daladala hasa pale unapokua mmesimama(mmeshika chuma)
nilipanda gari ya segerea maeneo ya ubungo darajani nkielekea...
Wakuu salam zenu,,,,,,
Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,,
Mwenye kujua zaid atujuze jaman
Ahsante, Nawasilisha
Salam zenu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza,
Ndugu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inamsuta sana.
Niseme tu nimeamua kuchana na pombe kutokana na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani.
2...
Habari wakuu,
Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye mada, nimeandika kiufupi ila ni suala la muhimu sana sana kwa mustakabali wa maisha yangu na familia yetu kwa ujumla.
Mimi ni kijana naetoka kwenye familia yenye baba, mama na watoto kadhaa....nitoe historia ya familia kwa ufupi...
Wakuu nawasalimu,
Polen kwa michoko ya week nzima ndugu zangu wana CHAPUTA (kama siyo mwanachaputa n kiherehere kimekuleta humu[emoji2] [emoji2])
Nna swali moja tu kwa sku ya leo
Hivi wewe hukuchukua mda gan hadi kufika kilelen ukiwa unapata ile raha ya kujichua
Mm kwa kawaida ata sekunde...
Habarini wakuu ama kichwa kinavyojieleza nahitaji msaada wa tatizo langu la tumbo kuunguruma mara kwa mara.
Je inaweza kuwa ni tatizo gani na dawa yake ni nini? kwan kila nikienda hospital sipati majibu wala dawa ya kuharisha!
Kama kichwa kinavyojieleza,,,,,,
Karibuni wanavyuo wote wa Tanzania tuweze kupeana updates na kubadilishana mawazo juu ya maswala mbali mbali.....
Karibuni
Wakuu habari zenu,
Najua weekend yenu inaenda vyema kabisa na mapumziko murua baada ya kumaliza mchakamchaka wa kutafuta riziki kwa mda wa siku tano.
Wakati mkiwa mnapata mapumziko hayo siyo mbaya tukaungana kumshauri jamaa yangu huyu ambaye baada ya kunisimulia habari yake nimeona nije...
Wasalaam wakuu,
Kimsingi kabisa mimi ni mgeni hapa JF. Nina jambo linalonsumbua sana na ninaomba ushauri wenu wa kina, kebehi sihitaji.
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, miezi kadhaa iliyopita nilibahatika kukutana na binti mmoja kwakweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.