Utakuta Mtu Kama Huyu AnaingiaMadogo mna mchecheto,,,majina ya kurekebisha waliokosea apply mkopo ni lini?
Kuuvuka huo mwaka wa kwanza unadhan ni shughuli ndogo?Utakuta Mtu Kama Huyu Anaingia
Second Year Then Anaita First Year
Madogo.
You're Right.Pia mkumbuke kupeana mawazo pindi mmalizapo chuo mtaanzaje kukabiliana na maisha ya mtaani sio kila siku mnatwanga story za mapenzi na kutongozana.... ni hayo tu kila la kheri....
Ukiitwa Dogo Na Third YearKuuvuka huo mwaka wa kwanza unadhan ni shughuli ndogo?
Wote ni continuous sio rahisi kuitwa hivo,,ngojen siku mnaenda piga paper ya ds kwnye UE mnazomewaga hatari aise , uliza uambiwe hall 5 frst year wanafanyiwaga nn,, ila nawaonaga wajinga cause continuous bado unakaa hostel za chuo af unazomea mtu huhuhuUkiitwa Dogo Na Third Year
Utajisikia Normal?
Jiheshimu Mkuu Nimesota Hapo Hall 4 Enzi Za Kina PUNCH.Wote ni continuous sio rahisi kuitwa hivo,,ngojen siku mnaenda piga paper ya ds kwnye UE mnazomewaga hatari aise , uliza uambiwe hall 5 frst year wanafanyiwaga nn,, ila nawaonaga wajinga cause continuous bado unakaa hostel za chuo af unazomea mtu huhuhu
Sa mbona post ya udsm unaomba link ujiunge group la wanachuo, umekosa kazi za kufanya au maana obviously unatakiwa uwe na mambo muhimu ya kufanya sio magroup ya wanachuoJiheshimu Mkuu Nimesota Hapo Hall 4 Enzi Za Kina PUNCH.
Nadhani Ulikuwa Bhado Unalamba Kamasi.
I Like Learning And Sharing IdeasSa mbona post ya udsm unaomba link ujiunge group la wanachuo, umekosa kazi za kufanya au maana obviously unatakiwa uwe na mambo muhimu ya kufanya sio magroup ya wanachuo
Acha Ushushu. Humpati MtuOrodheshen namba zenu niwafungulie group whatsapp,ila mnachanga kichwa kimoja buku 5 kama huna kichwa bure
Una matatizo ya akili i see,,mwenye whatsapp mwenyewe hajawachaji ela mnadownload bure af ilo group unataka bukutano mnagawa vocha za bure kwnye ilo grup auOrodheshen namba zenu niwafungulie group whatsapp,ila mnachanga kichwa kimoja buku 5 kama huna kichwa bure
Unatuuliza au unatupa taarifa. ..??Ola sauti ya mwanza degree tyr