273
Member
- Sep 12, 2017
- 63
- 82
habari wakuu,
nimeona ni vyema kama nikishea na ninyi mkasa huu mfupi wa wizi nilioushuhudia siku kadhaa zilzopita. wanawake kuweni makini sana na mikoba yenu mnapokua mpo kwenye daladala hasa pale unapokua mmesimama(mmeshika chuma)
nilipanda gari ya segerea maeneo ya ubungo darajani nkielekea external, wakat konda akisubiri abiria wajae wakapanda jamaa wawili ambao ukiwaangalia kwa umakin unagundua si watu wazur(either wateja au wezi) maana wana alama za kujeruhiwa maeneo ya usoni na macho ya uteja.
bas mmoja akawa amepata seat amekaa ila huyu mwingine akawa amesimama, tulkua kama abirua watatu tumesimama. gari ilivofika riverside wakapanda wamama wawili mmoja akapita kwenda kusimama nyuma kabisa mwingine (ambae ndo aliibiwa) akawa kasimama karibu na mlango,,,,,,huyu mwizi akawa nyuma yake na mm ndo nikawa nafuatia
ghafla huyu mwizi akaingiza mkono kwenye mkoba wa hyu mama sa sijui huyu mama hakufunga zipu cjui huyu mwizi aliifungua kiujanja, baada ya kuingiza mkono akachomoa pochi ndani ya ule mkoba na kuichomeka ndani ya boksa
nikiri kuwa tukio zima nilishuhudia japo ilikua haraka sana. kuacha mm kuna abiria kama watatu hiv naamin na wao walishuhudia tukio hili ila cha kushangaza si wale abiria wala mm alifungua mdomo wake, wote tulibaki kimya tukiangaliana kitu ambacho nkikumbuka nafsi inaniuma sana kwa kushndwa kuwa responsible mungu anisamehe.
yule mwiz akashukia hostel akatokomea uku nikimuona. na mm hadi nashuka yule mama alkua hajagundua kama kaibiwa cjui baada ya kugundua alkua katka hali gan mungu amfanyie wepesi
mytake,
wanawake muwe makini sana na pochi zenu na mikoba, hasa mnapokua mmesimama kwenye daladala.....pia kwa vijana wenzangu wizi sio mzuri hata kdgo, ile fedhea anayoipata mtu aloibiwa itakusumbua naisha yako yote.
asanteni,
nimeona ni vyema kama nikishea na ninyi mkasa huu mfupi wa wizi nilioushuhudia siku kadhaa zilzopita. wanawake kuweni makini sana na mikoba yenu mnapokua mpo kwenye daladala hasa pale unapokua mmesimama(mmeshika chuma)
nilipanda gari ya segerea maeneo ya ubungo darajani nkielekea external, wakat konda akisubiri abiria wajae wakapanda jamaa wawili ambao ukiwaangalia kwa umakin unagundua si watu wazur(either wateja au wezi) maana wana alama za kujeruhiwa maeneo ya usoni na macho ya uteja.
bas mmoja akawa amepata seat amekaa ila huyu mwingine akawa amesimama, tulkua kama abirua watatu tumesimama. gari ilivofika riverside wakapanda wamama wawili mmoja akapita kwenda kusimama nyuma kabisa mwingine (ambae ndo aliibiwa) akawa kasimama karibu na mlango,,,,,,huyu mwizi akawa nyuma yake na mm ndo nikawa nafuatia
ghafla huyu mwizi akaingiza mkono kwenye mkoba wa hyu mama sa sijui huyu mama hakufunga zipu cjui huyu mwizi aliifungua kiujanja, baada ya kuingiza mkono akachomoa pochi ndani ya ule mkoba na kuichomeka ndani ya boksa
nikiri kuwa tukio zima nilishuhudia japo ilikua haraka sana. kuacha mm kuna abiria kama watatu hiv naamin na wao walishuhudia tukio hili ila cha kushangaza si wale abiria wala mm alifungua mdomo wake, wote tulibaki kimya tukiangaliana kitu ambacho nkikumbuka nafsi inaniuma sana kwa kushndwa kuwa responsible mungu anisamehe.
yule mwiz akashukia hostel akatokomea uku nikimuona. na mm hadi nashuka yule mama alkua hajagundua kama kaibiwa cjui baada ya kugundua alkua katka hali gan mungu amfanyie wepesi
mytake,
wanawake muwe makini sana na pochi zenu na mikoba, hasa mnapokua mmesimama kwenye daladala.....pia kwa vijana wenzangu wizi sio mzuri hata kdgo, ile fedhea anayoipata mtu aloibiwa itakusumbua naisha yako yote.
asanteni,