273
Member
- Sep 12, 2017
- 63
- 82
Habari wakuu,
Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye mada, nimeandika kiufupi ila ni suala la muhimu sana sana kwa mustakabali wa maisha yangu na familia yetu kwa ujumla.
Mimi ni kijana naetoka kwenye familia yenye baba, mama na watoto kadhaa....nitoe historia ya familia kwa ufupi;
Miaka ya nyuma kidgo Baba yetu alkua ni mwenye kipato cha kati kwa maana kuwa alimudu kutatua changamoto kadha za kiuchumi, nawezasema katk ukoo yeye ndo alkua na uwezo mkubwa kdgo.
Maisha yaliendlea lakin shida ikaja kutokea pale ambapo baba aliingia ktk ugomvi na shemeji yake(mke wa kakaake) kufuatia kutoelewana katk baadhi ya mambo. ugomvi uliopelekea shemeji huyu wa baba kutoa lugha chafu na za chuki ikiwemo "familia zetu haztakuja kupatana kamwe" (yaani familia ya baba na ya kakayake ambae ingawa yupo hai ila akili yake n km haiko sawa;inasemekana alirogwa na mkewe) badae yakafuata mambo mengi yaliyoonekana kama ya kishirikina ikiwemo shemeji huyu wa baba kunyofoa mafunda ya majani ya kuezekea nyumba katk nyumba ya baba iliyokuwepo huko kijijini na kwenda nayo kwake haijulkani alienda kufanyia nn.
Baada ya hapa zikapta siku siku baba akaamua kwenda mkoa mwngne kutafta rizik kwan kila alilokua akishika halishikik(ela ilipotea kabisa).
Stori n ndefu sana ila kwa ufupi n kwamba tangu kipndi hiko baba hajawai kufanikiwa kiuchumi na mbaya zaid n kwamba tatzo lmekuja hadi kwetu wanae kwan licha ya kuwa tumeshakua watu wazma ila huwezi amini hakuna mwenye maendeleo, kila ukifanya kitu baada ya muda mfupi huoni faida ni hasara tu.
Jaman kwanza niulize je, ushirikina upo?? kwan kuna mengi tuliyofanyiwa na huyo shemejiye baba ni vile tu mengne sijayaandka, Hivyo ninaamin kati ya watakao soma huu uzi either wapo ambao wanao uelewa na haya mambo au walishawatokewa na mambo kama haya.
Nachohitaji ni ushauri ikiwezekana ata msaada(wa kutatua tatizo) asee nimechoka na haya maisha ya shida(kushika pesa lakin haikai, yaani hatuna maendeleo kabisa) jaman jaman somebody save my family isiangamie......tunaangamia (immagine ndan ya miaka 30 familia yaani baba na wanae haijawai kujenga hata msingi wa nyumba).
Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye mada, nimeandika kiufupi ila ni suala la muhimu sana sana kwa mustakabali wa maisha yangu na familia yetu kwa ujumla.
Mimi ni kijana naetoka kwenye familia yenye baba, mama na watoto kadhaa....nitoe historia ya familia kwa ufupi;
Miaka ya nyuma kidgo Baba yetu alkua ni mwenye kipato cha kati kwa maana kuwa alimudu kutatua changamoto kadha za kiuchumi, nawezasema katk ukoo yeye ndo alkua na uwezo mkubwa kdgo.
Maisha yaliendlea lakin shida ikaja kutokea pale ambapo baba aliingia ktk ugomvi na shemeji yake(mke wa kakaake) kufuatia kutoelewana katk baadhi ya mambo. ugomvi uliopelekea shemeji huyu wa baba kutoa lugha chafu na za chuki ikiwemo "familia zetu haztakuja kupatana kamwe" (yaani familia ya baba na ya kakayake ambae ingawa yupo hai ila akili yake n km haiko sawa;inasemekana alirogwa na mkewe) badae yakafuata mambo mengi yaliyoonekana kama ya kishirikina ikiwemo shemeji huyu wa baba kunyofoa mafunda ya majani ya kuezekea nyumba katk nyumba ya baba iliyokuwepo huko kijijini na kwenda nayo kwake haijulkani alienda kufanyia nn.
Baada ya hapa zikapta siku siku baba akaamua kwenda mkoa mwngne kutafta rizik kwan kila alilokua akishika halishikik(ela ilipotea kabisa).
Stori n ndefu sana ila kwa ufupi n kwamba tangu kipndi hiko baba hajawai kufanikiwa kiuchumi na mbaya zaid n kwamba tatzo lmekuja hadi kwetu wanae kwan licha ya kuwa tumeshakua watu wazma ila huwezi amini hakuna mwenye maendeleo, kila ukifanya kitu baada ya muda mfupi huoni faida ni hasara tu.
Jaman kwanza niulize je, ushirikina upo?? kwan kuna mengi tuliyofanyiwa na huyo shemejiye baba ni vile tu mengne sijayaandka, Hivyo ninaamin kati ya watakao soma huu uzi either wapo ambao wanao uelewa na haya mambo au walishawatokewa na mambo kama haya.
Nachohitaji ni ushauri ikiwezekana ata msaada(wa kutatua tatizo) asee nimechoka na haya maisha ya shida(kushika pesa lakin haikai, yaani hatuna maendeleo kabisa) jaman jaman somebody save my family isiangamie......tunaangamia (immagine ndan ya miaka 30 familia yaani baba na wanae haijawai kujenga hata msingi wa nyumba).