Nimesikia kuna pikipiki za mkopo

273

Member
Sep 12, 2017
63
82
Wakuu salam zenu,,,,,,
Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,,

Mwenye kujua zaid atujuze jaman

Ahsante, Nawasilisha
 
Hiyo nilisikia kipindi flani kuna jamaa wanafanya dodoma huko!..
 
Kwani, ya kulipia kidogo kidogo na ya kukopeshwa ipi unakabidhiwa mwanzo...?

Nadhani mleta mada anahitaji atoe laki nne kisha achukue usafiri ndio apeleke pesa iliyobaki au sijamuelewa vizuri...?
 
Kwani, ya kulipia kidogo kidogo na ya kukopeshwa ipi unakabidhiwa mwanzo...?

Nadhani mleta mada anahitaji atoe laki nne kisha achukue usafiri ndio apeleke pesa iliyobaki au sijamuelewa vizuri...?
Nadhan ni hivyo mi nilimpa njia nyingine kama ikiwa si hivyo
 
Wakuu salam zenu,,,,,,
Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,,

Mwenye kujua zaid atujuze jaman

Ahsante, Nawasilisha

Mleta mada hebu mrejesho hapa jamvini umekwama wapi ili watu wakusaidie...?

Au umeshapata tayari...?
 
Jamni mweny ukwel atujuz kuhus huo mkop wa pikpik mana na mim nimechok kutembea kwa miguu
 
Back
Top Bottom