Hapana hata madukani bei zinatofautiana, mfano boxer ya 2.2mil kwa cash atauziwa kwa 2.3-2.4 mil kwa malipo ya kidogo kidogo.Sasa si bora uende dukani ulipie kidogo kidogo bila riba.
Si kwelo..bei ni hiyo hiyo ulipe cash au kidogo kidogo kariakoo apoHapana hata madukani bei zinatofautiana, mfano boxer ya 2.2mil kwa cash atauziwa kwa 2.3-2.4 mil kwa malipo ya kidogo kidogo.
Nadhan ni hivyo mi nilimpa njia nyingine kama ikiwa si hivyoKwani, ya kulipia kidogo kidogo na ya kukopeshwa ipi unakabidhiwa mwanzo...?
Nadhani mleta mada anahitaji atoe laki nne kisha achukue usafiri ndio apeleke pesa iliyobaki au sijamuelewa vizuri...?
Wakuu salam zenu,,,,,,
Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,,
Mwenye kujua zaid atujuze jaman
Ahsante, Nawasilisha
Jamni mweny ukwel atujuz kuhus huo mkop wa pikpik mana na mim nimechok kutembea kwa miguu
Jamni mweny ukwel atujuz kuhus huo mkop wa pikpik mana na mim nimechok kutembea kwa miguu
Jamni mweny ukwel atujuz kuhus huo mkop wa pikpik mana na mim nimechok kutembea kwa miguu
Aisee hii taarifa vipi waweza nipatia details kamiliHiyo nilisikia kipindi flani kuna jamaa wanafanya dodoma huko!..
Mkuu naomba unijuze kuhusu hii taarifa kwa upana zaidi.Si kwelo..bei ni hiyo hiyo ulipe cash au kidogo kidogo kariakoo apo
unaenda kkoo unachagua pikipiki unayoitaka, unalipia kiasi ulichonacho alafu kinachobaki unalipa taratibu, kila ukilipa utapewa receipt ukimaliza unachukua chuma chakoMkuu naomba unijuze kuhusu hii taarifa kwa upana zaidi.
nenda crdb dodoma uliziaAisee hii taarifa vipi waweza nipatia details kamili