Wacha nichangie kwanza kwenye hii paragraph
Kwa maoni yangu naona mfumo tulionao Sasa ni outdated kwani ni Rais ndo anachagua nani awe wapi na nani wapi Sasa obvious atachagua watu ambao anawajua tu Sasa mkuu wa nchi anafahamiana na watu wangapi Kwenye li nchi lenye watu zaidi ya 60million ...
Ehee nadhani ndo maana Haina soko hizo duties hazihitaji ujuzi specific kudeal na hizo duties automatically atachukuliwa mtu mwenye faida ya ujuzi wa ziada kwani majukumu hayo yanaweza kuwa covered na mtu wa fani nyingine
Sasa kiongozi hebu nisaidie hapa main concern ya hii course ni nini
Au niseme hivi wakati ukiwa chuo unasoma hiyo course Huwa unajiandaa kwenda kufanya kazi Gani ?
Au mna-deal na nini hasa
Ndugu WanaJF,
Habari za muda huu twende kwenye mada Moja kwa Moja.
Nimeona mara kadhaa vitu vilivyokuwa vinamilikiwa/ kutumiwa na watu maarufu kuuzwa Kwa pesa nyingi na kimsingi sio kwamba vitu hivyo ni ghari hapana bali ni vitu vya kawaida sana mfano nimeona kofia ya Michael Jackson...
Inawezekana kabisa ka
Unaulizwa technical questions unakwepa kujibu jibu Kwa uwazi tu bila kuonyesha wewe ni nani
Unapokua unakwepa kujibu maswali malalamiko Yako yanapoteza maana
Mimi nadhani tukiwa fair Kwa pande zote wewe concern Yako ni kufaulu na kuzuiliwa kuendelea na mchakato
Maswali yafuatayo unatakiwa uyajibu bila kujipendelea
1. Sifa/ qualifications za post uliyoomba zipo wazi na zinafaamika ? (Ndio au hapana )
2. Kama zinafaamika bila kujipendelea tuambie...
Sasa mkuu kama wewe na familia Yako mlikua hamuoni umuhimu wa kusoma kufikia kiwango Cha PhD tatizo ni nani , Familia yenu au nyerere ?
Naona tumeamua kubebesha lawama watu wengine hata Kwa mambo ambayo tulipaswa kuwajibika sisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.