a45
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 1,325
- 1,403
Ndugu WanaJF,
Habari za muda huu twende kwenye mada Moja kwa Moja.
Nimeona mara kadhaa vitu vilivyokuwa vinamilikiwa/ kutumiwa na watu maarufu kuuzwa Kwa pesa nyingi na kimsingi sio kwamba vitu hivyo ni ghari hapana bali ni vitu vya kawaida sana mfano nimeona kofia ya Michael Jackson aliyoivaa kwenye tamasha Moja inauzwa kwa bei kubwa kabisa na Tena nikasikia koti (jacket) la huyu huyu Michael Jackson likiuzwa Kwa mamilion ya shilingi.
Pia Kama mnakumbuka kifo cha mcheza kikapu Kobe Bryant baadae Jessy aliyokuwa anavaa nayo iliuzwa Kwa pesa nyingi kuliko kawaida.
Sasa Mimi swali langu ni kwanini vitu hivyo viuzwe Kwa bei kubwa hivyo? Au tusene Wanunuzi wa vitu hivyo hupendea Nini au wanatafuta Nini kutoka kwenye hivyo vitu kiasi cha watu kuwa tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho?
Habari za muda huu twende kwenye mada Moja kwa Moja.
Nimeona mara kadhaa vitu vilivyokuwa vinamilikiwa/ kutumiwa na watu maarufu kuuzwa Kwa pesa nyingi na kimsingi sio kwamba vitu hivyo ni ghari hapana bali ni vitu vya kawaida sana mfano nimeona kofia ya Michael Jackson aliyoivaa kwenye tamasha Moja inauzwa kwa bei kubwa kabisa na Tena nikasikia koti (jacket) la huyu huyu Michael Jackson likiuzwa Kwa mamilion ya shilingi.
Pia Kama mnakumbuka kifo cha mcheza kikapu Kobe Bryant baadae Jessy aliyokuwa anavaa nayo iliuzwa Kwa pesa nyingi kuliko kawaida.
Sasa Mimi swali langu ni kwanini vitu hivyo viuzwe Kwa bei kubwa hivyo? Au tusene Wanunuzi wa vitu hivyo hupendea Nini au wanatafuta Nini kutoka kwenye hivyo vitu kiasi cha watu kuwa tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho?