Wadau na hizi sikukuu ingependeza tungepata nyimbo zenye vibe wakati wa kupata moja moto moja baridi, si unajua pombe=nyama choma=mziki=women, ni vitu vinavyoendana. Mimi nitatupia baadhi
Pesa Mr Blue
Una Mimi mars, young lunya
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kumekuwa na tabia ukienda kujiandikisha kupata cheti cha kuzaliwa unapewa mlolongo mrefu usio na maana yeyote, mfano unaambiwa ulete kadi yako ya kliniki, uje na mzazi, vyeti vya ubatizo n.k pia kulazimisha mtu kujisajili mahali ulipozaliwa, Ina maana kwa mfano nimezaliwa kigoma lakini familia...
Kama mzazi una mtoto wako amemaliza chuo kisha anakuambia anabaki anatafuta ajira. Kemea kabisa hilo pepo na mwambie haraka sana arudi nyumbani kazi atatafuta akiwa nyumbani ikishindikana mfuate kabisa umrudishe maana anayoyafanya/ atakayoyafanya hutopenda kusikia.
Kwasasa kuna wimbi kubwa la...
Kiwanja kinauzwa Mwanza karibu na Dolphin Lodge.
Note: hizi picha ni za zamani kidogo sasa hivi majirani wamejenga.
Kwa mawasiliano zaidi pamoja na kuuliza maswali ili kujiridhisha piga simu namba 0753155934
Wakuu naombeni ushauri na mwongozo ni namna gani ya kufungua kesi ikiwa kuna mtu unamdai na hataki kukulipa?
Iwe ni kazini au kwenye mauziano ya kitu na akataka kukudhulumu huyu mtu unamshughulikiaje kisheria
viwanja vinauzwa nyamagana kijiji cha luchelele karibu na dolphini lodge viko vitatu mita 16×30, vyote vipo sehemu moja vina hati. bei M6.5 kila kimoja, maelewano yapo simu 0753155934
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.