Hii ni kwenu wanangu sana, wapambanaji & watafutaji wote. Haijalishi unatafuta katika mazingira gani, umezungukwa na nani, muda gani, mahala gani na kwa nani. Pambana mpaka tone la mwisho la jasho na damu yako.
Mpambanaji au mtafutaji hakati tamaa na kijitoa uhai(kujiua). Hustler akikata tamaa...
Wakuu
Kama kichwa cha uzi kinavyojileza hapo juu. Kama mjuavyo wakuu, akiba ni kitu muhimu sana katika maisha,"akiba haiozi".
Lengo la huu uzi ni kupeana hamasa ya kuzichanga mdogo mdogo, uzi huu utasaidia kuweka akiba ya kila tupatacho haijalishi ni kidogo kiasi gani,kisha mwisho wa mwaka huu...
Wasalaam ndugu zangu!
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, lengo la huu uzi ni kupeana mbinu ni namna gani uliweza kuanza ujenzi.
Uzi huu ni kwa wote, hapa namaanisha wale mliyofanikiwa kujenga, wale mliyokatika hatua za wali za ujenzi na pia wale mliyokatika hatua za mwisho za ujenzi.
Lengo...
Wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada, natafuta mafundi seremala au mtu yeyote mwenye uwezo tajwa hapo juu.
Niko Mafinga mjini, eneo la kazi ni Mufindi wilayani si hapa mjini. Ni kazi ya muda tu, ni kazi ya kujenga Chinese Camps.
Malipo ni TSH 25,000/= Per day.
Ni muhimu na haraka sana...
Wakuu!
Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.
Ila, Mbususu...
Habari zenu ndugu zangu,
Natumaini mko salama kabisa na kwa wale wenye changamoto mbalimbali za kimaisha msikate tamaa kwani siku njema zi karibu.
Nijikite katika mada husika, ni mimi kijana wenu Merchante nimerudi tena hapa jukwaani.
Lengo kuu ni kuomba kusaidiwa & kupewa njia/namna ya...
Wakuu!
Kwanza nianze kwa kusema: MPIRA KWA KIPA SIRUDISHI KAMWE!
Hatimae kwa mara nyingine tena narudi kwenu kuomba mnisaidie niweze kupata kazi yoyote ile ambayo ni halali,niko tayari kufanya kazi mahala popote pale.
Kazi yoyote halali nafanya, pia ninafundishika hata kwa zile kazi ambazo...
Wakuu!
Poleni na majukumu ya kila siku, hatimae nimerudi tena katika jukwaa hiki kuomba msaada kwa yeyote yule ambae anaweza kunisaidia nikapata kazi yoyote ile ambayo ni halali.
ELIMU YANGU:
Bachelor Degree (BA Development Studies)
EXPERIENCE (UZOEFU)
✓Data Collection
✓Data Analysis...
Wanabodi!
Kheri ya sikukuu ya Eid (Eid Mubarak).
Ni matumaini yangu wengi wetu tuko salama na kwa wale wenye matatizo mbalimbali kwa imani yako utapata kupona.
Wakuu yeyote mwenye connections ya kazi yoyote halali naomba anisaidie. Maisha yanazidi kuninyoosha kisawa sawa! Mitihani ni mingi...
Wasalaam! wanabodi.
Ni matumaini yangu wengi mko salama na kwa wale wenye madhila mbalimbali basi yule unae muamini akapate kukuponya.
Niende moja kwa moja katika mada husika, kama kichwa kiavyojieleza hapo juu.
Nimekuwa nikiishi katika mikoa mbalimbali katika shughuli za kujiingizia kipato...
Wakuu,
Naombeni msaada ndugu zangu,simu yangu (LG G5) baada ya kureset nikiweka line napata notification hii "Invalid SIM".
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.