Hatimaye ni miaka 7 na miezi 3 bila mahusiano

Hatimaye ni miaka 7 na miezi 3 bila mahusiano

Merchante

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2017
Posts
1,468
Reaction score
3,040
Wakuu!

Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.

Ila, Mbususu natunukiwa na baadhi yao ambao wana hisia na mimi ila mimi sina hisia nao kabisa. So sometimes wapo watakao jaribu kunishawishi kwa kila namna ili nikunjue moyo, maana nimekunja haswaa! Ila bado sijaona wa kunishawishi kabisaaa kuanza mahusiano. Japokuwa mpaka sasa nina takribani mwaka na mwezi mmoja sijagusa mbususu ya mtu (nadhani hii ni kutokana na harakati za utafutaji).

1645431678904.png

 
Acha ujinga, [emoji16][emoji16]

Ishi maisha yako , furahia dunia acha kuwaza waza ujinga kuhusu huyo aliye kucheat, Alisha kucheat ndio , so Nini kilichobadilika toka kwako ,!? Umekufa,!? Au ulipoteza kiungo kimoja wapo ktk mwili !? , It doesn't matter ulipitia mapito gani maisha yanapaswa kuendelea, usisite kuwa in serious relationship eti kisa uliumizwa wakati huo huo mwenzako aliye kuumiza anaendelea kuishi Maisha yake huko
 
Mi mtu akishasema hayupo kwenye mahusiano lkn anafanya ngono basi simuhesabu kuwa yupo single!. Hapo ni sawa na kusema huna mahusiano na huduma ila unapata huduma!.. ukiamua kuacha acha kabisa usituletee balaa sie.
 
Usijihisi mpweke, mimi hapa pia nimefuata mkondo huo, Tangu mwezi September Sipo kwenye mahusiano na sijagusa hata wale wa kuosha rungu na nataka mwaka huu wote uishe nikiwa hivo.
Inawezekana kabisa Mkuu, kama nimetoboa kwa huu mwaka mmoja na mwezi mmoja,naamini hata miwili itawezekana. Jambo la kuzingatia uwe na kazi inayokuweka bize sana na inayokuchosha sana, ili ukilala unalala kama ubao.
 
Mkuu utazeeka
Hakuna kitu muhimu kama mapenzi
Watalaamu wanashauri angalau kwa week ufanye mara2
Unanishangaza unaposema una mwaka hujaduu
Au Wewe Chaputa.
Mimi sio chaputa Mkuu, ila nadhani ni aina ya kazi ninazofanya,nakua bize sana pia nachoka sana. Pia hata chaka nilipo,hakuna vishawishi.
 
Acha ujinga, [emoji16][emoji16]

Ishi maisha yako , furahia dunia acha kuwaza waza ujinga kuhusu huyo aliye kucheat, Alisha kucheat ndio , so Nini kilichobadilika toka kwako ,!? Umekufa,!? Au ulipoteza kiungo kimoja wapo ktk mwili !? , It doesn't matter ulipitia mapito gani maisha yanapaswa kuendelea, usisite kuwa in serious relationship eti kisa uliumizwa wakati huo huo mwenzako aliye kuumiza anaendelea kuishi Maisha yake huko
Huyu alieniumiza nahisi atakua anataabika tu kwa sasa,chozi la mwenye haki halipotei bure.
 
Mumi tangu lile jinamizi linipige tukio siku hizi huwa natamani tu manzi alafu rohoni kawaida
Sahihi Mkuu,yani unamtamani tu ila moyoni una mchukulia kawaida,yani hana maajabu,yani hana la tofauti,yani si lazima.
 
Mi mtu akishasema hayupo kwenye mahusiano lkn anafanya ngono basi simuhesabu kuwa yupo single!. Hapo ni sawa na kusema huna mahusiano na huduma ila unapata huduma!.. ukiamua kuacha acha kabisa usituletee balaa sie.
Mkuu hata Mchawi huwa anakwenda kanisani, so hili halimfanyi kuwa si mchawi. Hivyo basi kula mbususu za viumbe wanaokusogezea haimaanishi upo katika mahusiano nao.
 
Back
Top Bottom