Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,292
- 2,679
Wasalaam! wanabodi.
Ni matumaini yangu wengi mko salama na kwa wale wenye madhila mbalimbali basi yule unae muamini akapate kukuponya.
Niende moja kwa moja katika mada husika, kama kichwa kiavyojieleza hapo juu.
Nimekuwa nikiishi katika mikoa mbalimbali katika shughuli za kujiingizia kipato huku nikijaribu kutafakari mkoa gani nikae kati ya hiyo lakini bado nakua nashindwa kuamua wapi nitulie.
Hivyo basi, nimeamua kushare nanyi mada hii ili kila mmoja kwa uelewa na uzoefu wake apate kudadavua ni mkoa gani ambao sasa naweza kutulia na kutengeneza pesa.
Hapa namaanisha; mkoa wenye mzunguko mkubwa pesa, mkoa wenye fursa nyingi (ingawa fursa ni popote ila zinatofautiana katika urahisi wa upatikanaji) nk.
Kikubwa mkoa wenye mzunguko wa pesa na maisha ya wastani.
Kwenu wakuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni matumaini yangu wengi mko salama na kwa wale wenye madhila mbalimbali basi yule unae muamini akapate kukuponya.
Niende moja kwa moja katika mada husika, kama kichwa kiavyojieleza hapo juu.
Nimekuwa nikiishi katika mikoa mbalimbali katika shughuli za kujiingizia kipato huku nikijaribu kutafakari mkoa gani nikae kati ya hiyo lakini bado nakua nashindwa kuamua wapi nitulie.
Hivyo basi, nimeamua kushare nanyi mada hii ili kila mmoja kwa uelewa na uzoefu wake apate kudadavua ni mkoa gani ambao sasa naweza kutulia na kutengeneza pesa.
Hapa namaanisha; mkoa wenye mzunguko mkubwa pesa, mkoa wenye fursa nyingi (ingawa fursa ni popote ila zinatofautiana katika urahisi wa upatikanaji) nk.
Kikubwa mkoa wenye mzunguko wa pesa na maisha ya wastani.
Kwenu wakuu!
Sent using Jamii Forums mobile app