Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,293
- 2,681
Wakuu
Kama kichwa cha uzi kinavyojileza hapo juu. Kama mjuavyo wakuu, akiba ni kitu muhimu sana katika maisha,"akiba haiozi".
Lengo la huu uzi ni kupeana hamasa ya kuzichanga mdogo mdogo, uzi huu utasaidia kuweka akiba ya kila tupatacho haijalishi ni kidogo kiasi gani,kisha mwisho wa mwaka huu tutapeana hesabu ya kilichopatikana. Pia kwa watakao hitaji ushauri wa hiyo pesa walochanga wafanyie nini nadhani watapata ushauri hapa hapa jukwaani.
Hata ukipata buku mbili kwa siku,sio mbaya, weka akiba hata 500 sio mbaya, then baada ya muda naamini utapata matokeo chanya.
Tutakuwa tunapeana updates za salio la akiba tulizojiwekea. Huu uzi utakuwa ni msaada kwetu sote kama ulivyo ule uzi wa "ULIANZAJE KUKAA GHETTO" uloanzishwa na Walec
Uzi huu ni kwaajili ya watu wote ila muhimu zaidi kwa wale wapambanaji wadogo, wanangu wa Maghetton uzi huu ni bora pia, wanangu wa gereji, bodaboda, machinga, mafundi simu, nyumba,n.k. Waua Wenger pia uzi unawahusu huu, wabeba box tuko pamoja kuzichanga hapa.
Tusikatishane tamaa, tupo hapa jukwaani kupeana courage na mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha.
MAMBO YA KUZINGATIA
1: Kupeana updates
2: Hamasa ya kupambana
3: Kupeana mbinu za kujikwamua kwa yule ambae atakua anapitia katika wakati mgumu.
Kama kichwa cha uzi kinavyojileza hapo juu. Kama mjuavyo wakuu, akiba ni kitu muhimu sana katika maisha,"akiba haiozi".
Lengo la huu uzi ni kupeana hamasa ya kuzichanga mdogo mdogo, uzi huu utasaidia kuweka akiba ya kila tupatacho haijalishi ni kidogo kiasi gani,kisha mwisho wa mwaka huu tutapeana hesabu ya kilichopatikana. Pia kwa watakao hitaji ushauri wa hiyo pesa walochanga wafanyie nini nadhani watapata ushauri hapa hapa jukwaani.
Hata ukipata buku mbili kwa siku,sio mbaya, weka akiba hata 500 sio mbaya, then baada ya muda naamini utapata matokeo chanya.
Tutakuwa tunapeana updates za salio la akiba tulizojiwekea. Huu uzi utakuwa ni msaada kwetu sote kama ulivyo ule uzi wa "ULIANZAJE KUKAA GHETTO" uloanzishwa na Walec
Uzi huu ni kwaajili ya watu wote ila muhimu zaidi kwa wale wapambanaji wadogo, wanangu wa Maghetton uzi huu ni bora pia, wanangu wa gereji, bodaboda, machinga, mafundi simu, nyumba,n.k. Waua Wenger pia uzi unawahusu huu, wabeba box tuko pamoja kuzichanga hapa.
Tusikatishane tamaa, tupo hapa jukwaani kupeana courage na mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha.
MAMBO YA KUZINGATIA
1: Kupeana updates
2: Hamasa ya kupambana
3: Kupeana mbinu za kujikwamua kwa yule ambae atakua anapitia katika wakati mgumu.