Wanabodi,
Hakuna mwanadamu aliyekamilika kabisa hapa duniani.
Hivyo nawaomba vijana wenzangu tujifunze kujikubali kwa kujikosoa na kukubali kwamba hata sisi tuliwahi kufanya makosa au madudu ambayo yalisitahili adhabu kabisa, lakini kwa sababu ya Kona tuliyofanyia madudu yetu hayo haikuwa na...
Wanabodi,
Nawaomba Sana na kuwasihi Watanzania wenzangu tuitunze na kuienzi tunu yetu ya taifa inayoakisi malezi na maadili yetu ya kitanzania ambayo Ni heshima na uungwana kwa binadamu wenzetu.
Hivi karibuni kuna magenge yanazuka mitandaoni yakimkosoa Rais wa JMT Mh. Samia Suluhu Hassan, kwa...
Wakuu nina kitalu nimesheheni miche ya miAple, nitakuuzia na kukupa somo namna ya kuipanda bei 10,000/- kila mche.
Baada ya miezi 8-10 utaanza kufurahia matunda yake
0754459572
Unaruhusiwa kuja kutembelea kitalu hata kutazama tu, na ukipenda nitakupeleka shambani vigwaza uone miti tenye miezi 8...
UDINI.
Nchi Yetu tuna watu wenye Dini tofauti kila mmoja anavyoamini,
Wapo Wakristo, Waislamu, Wahindu, na wapo PIA wapagani.
Ni jambo jema na la busara Sana nchi kuwapata viongozi nje ya kutazama Imani zao.
Kiongozi au mtu yeyote atakayeanza kuuliza kwamba Iweje watu WA Imani yake wachache...
Naomba kufahamishwa bei ya mbuzi WA size ya Kati na wakubwa, naweza kusuply zaidi ya mbuzi 200 kwa week.
Nipeni bei na wateja au Madalali wa vingunguti tufanye biashara.
Nyumba inauzwa Singida mjini, ina eneo zima viwanja vitatu vimeungana, iko kimpungua jirani na chuo cha uhazili kinapojengwa, ina vyumba vitatu, viwili ni self containied, ina sittng room, dining, jiko na stoo, public washrooms na kiwanja kimepandwa migomba na miti mbalimbali.
Bei 48mil kamili...
Wakuu mwenye kujua wapi napata mashine ya kitengeneza sabuni za unga na miche na maji anipe utaratibu wakuu au kama kuna muuzaji wa hizo mashine anipigie 0754459572
Katika mkoa wa Singida ofisi nyingi hasa maduka makubwa ya hardware na supermaket hakuna mashine za TRA, bar kubwa sana nazo hazina mashine hizo za receipt, hii hali inadororesha mapato yenu.
Je ni kweli hawana mashine hizo au wanazificha ili waibe kodi? Pia mkurugenzi anapotumia pesa za...
Wakuu mwenye kujua namna ya kusajili club ya soka tz anipe mwanga, ili uwe na club ilosajiliwa unatakiwa upitie njia zipi na vigezo gani ili hata uweze kushiriki ligi za tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.