Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
Wakuu Nina ng'ombe 30, size ya Kati.
Wako home mkoa WA Mara, nahitaji mteja tufanye biashara fasta.
0754459572
Wako home mkoa WA Mara, nahitaji mteja tufanye biashara fasta.
0754459572
Sina picha Na wala sitakuwa nazo hii sio biashara ya kihamorapa wala nyumba ya kupangaPicha tuwaone
KhaaaaaSina picha Na wala sitakuwa nazo hii sio biashara ya kihamorapa wala nyumba ya kupanga
mkurya unamjua hamorapa?Sina picha Na wala sitakuwa nazo hii sio biashara ya kihamorapa wala nyumba ya kupanga
Nashkuru[emoji3] [emoji3]Sina picha Na wala sitakuwa nazo hii sio biashara ya kihamorapa wala nyumba ya kupanga
kweli we mura biashara ndiyo unaongea kibabe hivi?Sina picha Na wala sitakuwa nazo hii sio biashara ya kihamorapa wala nyumba ya kupanga
huko alipo atakuwa anarusha ngumi ha hahahaKweli biashara ni kipaji.😀😀.Jamaa anatoa majibu ya kijeshi
Kwa kweli hat mm kanistaajabisha loohkweli we mura biashara ndiyo unaongea kibabe hivi?
hatariKwa kweli hat mm kanistaajabisha looh
ukipata mteja ni pm mkuu nina majani .'chakula cha ng'ombe special'Wakuu Nina ng'ombe 30, size ya Kati.
Wako home mkoa WA Mara, nahitaji mteja tufanye biashara fasta.
0754459572