habari za jioni wapendwa..samahani mi nimehitimu mwaka jana chuo ,nisaidie katika kazi tafadhali
1.nimesomea journalism with mass communication
2.nimesomea kozi maalumu ya NEW AND SOCIAL MEDIA,KUTENGENEZA BLOGS NA KUZIENDESHA,kuendesha website na mitandao yote ya kijamii na mambo mengi...
jamani naomba msaada wenu,maana mwenzenu nilikuwa najisaidia sana choo kigumu hadi nikapata mpasuko katika sehemu ya haja kubwa,nilielekezwa kutumia vidonge vya ANUS but ilinisaidia tu kukata damu iliyokuwa ikitoka nikijisaidia,,but mpasuko bado upo na mda fulani wanipa maumivu makali wakati wa...
Starehe pia na ulevi limeonekana ni tatizo linawakumba watanzania wengi mda wa kazi wanaacha kuendelea na kazi kwenda kufanya starehe mda wa kazi na kusahau mda huo ni wa kazi na sio mda wa kufanya starehe, hali hiyo nayo imekuwa kama chachu kwa vijana hawa kuweza kufurukuta katika soko la...
Uvivu na kutopenda kujituma ni hali ambayo imeonekana ikileta ugumu kwa vijana wengi wa Tanzania kuleta ushindani wa soko huru la Afrika mashariki lilifunguliwa mnamo mwezi juni mwaka 2011 ili kuruhusu nchi za Kenya,Uganda,Rwanda,Burundi na Tanzania katika kushirikiana mambo mbalimbali ya...
jamani mi namhurumia sana aunty ezekiel alipopigwa marufuku kushiriki movie za kibongo na wenye mamlaka hiyo...jamani sasa huko ndio mtu anakotegemea kula na kuishi,,sasa wanadhani ataishi vipi na hayo maisha atayaendesha vipi,,akiwa malaya tena wataanza kumlaumu,,mi naona siyo haki bana...
AKIFAFANUA kuhusu uingizwaji wa madawa ya kulevya nchini,kijana mmoja aliyewahi kutumiwa kama mvushaji wa madawa hayo(jina linahifadhiwa) ya kulevya alifafanua kuwa,mambo kama hayo hayawezi kuzuilika hata kidogo kwani baadhi ya viongozi wa jeshi la polisi kitengo cha kudhibiti madawa nchini...
ni bora kuishi katika nchi isiyokuwa na utawala wa serikali yyote lakini iwe na uhuru wa vyombo vya habari ili kutoa habari za kinachoendelea kwa wananchi kuliko kuishi katika nchi yenye serikali lakini hakuna uhuru wa vyombo vya habari maana waandishi na vyombo vya habari vinashindwa...
naitwa james nina umari wa miaka 21,ni mwanafunzi wa chuo hapa dar,,,nahitaji marafiki wa ukweli wa kusaidiana katika raha na shida....umri kuanzia miaka 26 na kuendelea
waandishi wengi wa habari wanashindwa kufanya kazi ambayo itawapa haki wananchi bali wanabaki kucoment maneno ambayo yameazungumzwa na wanasiasa wambea tu kama wao,,hawasemi matatizo waheshimiwa hao wanayosababisha ila wanabaki kusema uongo na kuopotosha jamii katika mambo mbalimbali eti kisa...
mi nashindwa kuelewa maana hapa nchini imekuwa kama vile nchi ni ya wacheza mipira ya miguu tu,watu wanaocheza basketball,volleyball hata hawathaminiwi kama wacheza mipiira ya miguu,maana hata hapa majuzi tumeshuhudia michezo ya wakimbia riadha hapa nchini lakini hakuna suport yoyote wanayopata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.