youngforeva
Member
- Apr 26, 2011
- 25
- 1
jamani naomba msaada wenu,maana mwenzenu nilikuwa najisaidia sana choo kigumu hadi nikapata mpasuko katika sehemu ya haja kubwa,nilielekezwa kutumia vidonge vya ANUS but ilinisaidia tu kukata damu iliyokuwa ikitoka nikijisaidia,,but mpasuko bado upo na mda fulani wanipa maumivu makali wakati wa kujisaidia,,,,mwenye kuelewa tiba please anisaidie au anielekeze wapi naweza pata mtaalamu