Kama CAG ametoa taarifa maana yake tayari Serikali imetoa taarifa .
Sina shaka na anayofanya Mh. Rais wangu John Pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya Pro.nimeipenda sana inatuonyesha ni jinsi gani kuna tatizo la waoaji kwenye jamii hivyo mabinti wanalazimika kuolewa na MTU yoyote bila kuweka vigezo zaidi ya kigezo cha kuwa mwanamume.
Kutokana Na madudu yanayofanyika Na chama cha waalimu CWT kwa matumizi ya fedha za chama chao bila utaratibu ni dhahiri sasa kuna haja ya Serikali kuingilia kati Na kusitisha makato yanayokatwa Na chama hicho ili kuruhusu uchunguzi.
CAG ameonyesha kuna ubadhilifu mkubwa Wa fedha za chama hicho...
Brother pole sana kama umeyakuta Na unaambiwa ulichukua unatafuta maana Yake wewe ni zoba huwezi kumfanya lolote ila kwa mustakabali huo hapo kuna mambo mawili .
1_Unalazimisha mpenzi
2_Umeolewa wewe maana katika uhalisia sio mambo yanayovumilika kirahisi hayo .
Kuwa mwanaume ni tofauti Na...
Mm sio Makonda ni JC Simba kama ilivyo wala sijawahi ongea Na Makonda nipo Arusha afadhali Mh.Gambo tunaonana kwenye Kazi ila alichowaza huyu mtu amenigusa ukikuta nimeponda nimeponda ukweli .
Tuzungumze ukweli maana unafiki weka pembeni maana kwa hili amefanya vyema huyu ni kiongozi Na...
Ulichoongea ni kweli ila hapo mm nimempongeza tu kwa kujaribu kulimulika hili suala unajua kulizungumzia tu Na kulifanyia Kazi inaleta muamko Na kufanya wadau wengine kulifanyia Kazi .
Hii ishu sio rahisi INA changamoto zake Na kikubwa nilicholenga ni kuhusu DNA ambayo kwetu sisi ni ngumu...
Hiki hiki Kiwango cha chini ndio hicho kitasaidia malezi ya mtoto has a ukiwa mbali na wewe Na hicho ndio Makonda anachopambania maana hawezi toka nje ya sheria Na utaratibu Wa ustawi Wa jamii anachosisitizia ni kutuzwa kwa watoto.
Mimi nimeongeza ushauri kuwa upimaji Wa DNA upewe nafasi maana...
Nimpongeze kwa dhati Mh.Paul Makonda kwa kuendelea kuwa mbunifu Na mchapakazi kinara kabisa kwenye Serikali hii ya awamu ya tano .
Kwa kweli amejitahidi kuna Na mambo mengi mazito ya kiubunifu ya kuisaidia jamii yetu ya Tanzania .
Kuanzia kwenye suala zima la kupambana Na madawa ya kulevya...
Hapa kuna sehemu ya msingi ambayo umeigusa kiini cha Elimu yetu kuonekana kupwaya ni
"kushindwa kuunganisha Elimu Na uhalisia Wa maisha yetu"
Yaani Leo hii nimemaliza chuo kikuu Na Bachelor lakini siwezi kufanya chochote cha kuniingizia fedha nikaishi nabaki kulalama Na kuzunguka Na bahasha...
Hii Inchi wote wanalalama sio mhandisi,daktari,Mwalimu,yaani wote haieleweki sijui ni nn kinatokea.Ni nani anakula keki ya Taifa hili kama ndio wasomi wetu wanalalamika namna hii?
Kuna shida sehemu hapa Kubwa sana .
Kwa kweli kuna changamoto Kubwa sana kwani hata kama ni kwa kufanya biashara itachukua muda kabla ya kufikia kuweza kujaza bidhaa kwenye hayo mabehewa ya mizigo.
Ifahamike kwamba kama ujenzi umefanyika bila kulenga maeneo husika ambayo mizigo ya wafanyabiashara ni ya kutosha basi ni changamoto...
Gadafi alikua kichwa Na Hela ilishakaa sehemu Yake ingawaje maono yake naona tayari wachina wameanza kuyafanyia Kazi kwa kutumia fedha yao kununulia mafuta ghafi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.