Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Kama una facts ulikuwa unauliza nini sasa?. Pumbavu kabisaNjoo na fact wewe mfia dini
Kama una facts ulikuwa unauliza nini sasa?. Pumbavu kabisaNjoo na fact wewe mfia dini
Wale wanalindwa Na Mungu ndio maana yule jamaa hakufanikiwa alijikwaa mwenyewe pale Na ikawa ameshindwa kutekeleza azma Yake.kuna wengine hawajaiina hiyo ila washukuru lile kanisa mule ndani lilijengwa kiulinzi ama kwa kujua au kutokujua ile mbao ilimzuia yule jamaa...
Kama una facts ulikuwa unauliza nini sasa?. Pumbavu kabisa
naweza kubaliana ni hiliWale wanalindwa Na Mungu ndio maana yule jamaa hakufanikiwa alijikwaa mwenyewe pale Na ikawa ameshindwa kutekeleza azma Yake.
Una uhakikanaweza kubaliana ni hili
yaani mimi nimefika sasa hivi....Mimi mwenyewe mgeni hapa
kwa kiswahili cha kisheria ukisha ona mtu anasemaUna uhakika
Unadhani Bila wale jamaa kumiwahi asingefanya madhara,?kwa kiswahili cha kisheria ukisha ona mtu anasema
naweza kubaliana na hili tafsiri ya hilo neno hapo lililokolezwa ni kwamba kuna uwezekano pia
nisiweze kubaliana na hilo swala.
Uko sahihi,kumbuka 'popal guard' na 'tume ya amani na majeshi'Natumai mko wazima wakuu
Kwa lile jaribio la mashambulizi ya ASKOFU wa Uganda wiki uliyo pita,
Niliona Kuna njemba kama nne zilimbeba yule jamaa kama kiroba cha makinikia, nikathibitisha Ile kauli kuwa
Catholic Church ina jeshi Lake maalum lililovaa kofia ya dini
Sijuii Niko sahihi wakuu......
Kwani hapa nchini huoni MAASKOFU wakibambiwa mkuuNafikiri tuache habari ambazo hazina mashiko kwetu na hali zetu ngumu, ni bora tujadili mambo ya msingi ya Taifa na hali ya sisi wananchi
NaonaKwani hapa nchini huoni MAASKOFU wakibambiwa mkuu
Hapo umenena mkuuKapicha au kavidio puliz. Ila napendekezwa Viongozi wa kiimani walindwe na Mungu na ikitokea wakifa sio mbaya maana bila kufa mbinguni huendi, wao ni watu wanaoitumikia njia iliyo njema sioni sababu ya wao kuogopa kufa, ni Mungu atakuwa amewapenda zaidi.
asingeweza na wale walifika wakati panga limesha mponyoka zamaaani na hata askofu/padri mwenyewe na msaidizi wake pale wangekua wamesha kimbiaUnadhani Bila wale jamaa kumiwahi asingefanya madhara,?
Weka nyama mkuuUko sahihi,kumbuka 'popal guard' na 'tume ya amani na majeshi'