Hawa wanyama sasa hivi wanavuka mto mara kwenda Kenya,wengi wanaliwa na mamba
Nyumbu mamako bwege wewe
View attachment 1057597View attachment 1057598[/QU
Kitengo cha mawasiliano lakini hakuna aliyesaini taarifa hiyo.
Nahisi kuna mtu ataikana muda si mrefu.Stay tuned!!
Maendeleo yapi? CCM hawajaleta maendeleo na CAG hajaikagua CCM hukwepa kuwakagua na hata akienda kuwakagua atakuta madiudu mengi akina polepole wamefuja pesa nyingi kienyeji kwa visingizio vya kuzitumia kudhoofisha chadema na kuua upinzani kwa ujumla, CAG hagusi hesabu za CCM kwa kuogopa kufukuzwa ama kutumbuliwaChadema kama hamjapeleka mahesabu ya fedha za ruzuku hakika mtafutwa kimya kimya labda ndio maana CC ya Ufipa kesho inakutana!
Maendeleo hayana vyama
Hawa wanyama sasa hivi wanavuka mto mara kwenda Kenya,wengi wanaliwa na mamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu CAG huwa hapangiwi vya kusema/kufanya. Nadhani ni mtu wa swala tano aliyezoea ukweli na itakuwa hawajataka kushtukizwa na makasoro kibao hivyo wameona waipitie kimyakimya kwanza ukizingatia Dotto boy huwa anajiamulia kutoa pesa anapoamuriwa bila kufuata taratibu husika, lazima waminye ripoti. Hili ni jambo la aibu na fedhehe kwa kiongozi anayejipambanua kutaka uwazi na udhibiti bora ya pesa/mali ya umma.
Ndio maana amepiga nyumbo uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kuleta sharia kandamizi ili kuziba midomo wale wote wenye ujasiri wa kuhoji na kudadisi.Mtaji wa JPM sasa hivi ni kuhakikisha watu hawapati taarifa muhimu bali kulishwa watakacho ccm. Wanajua kabisa kuna mambo mengi hayaendi vizuri hivyo namna pekee ni kuhakikisha taarifa muhimu haziufukii umma.
Hawa wanyama sasa hivi wanavuka mto mara kwenda Kenya,wengi wanaliwa na mamba
Sent using Jamii Forums mobile app