Heloo wakuu,
Wale mawakala wa bitcoin na etherium nawahitaji ikiwezekana waniunge kwenye magroup yao ya whatsapp nilikuwa nazihitaji.
Nimeamua nihamie kwenye cryptocurrency na zile fursa nzuri nzuri za cryptocurreny msisahau kunishirikisha
Pole na majukumu ya siku wapendwa
Nimeamua kuja katika forum hii lengo kuu likiwa ni kutaka kujua ni namna gani ayctaratibu zipi naweza kupata wakala mkuu wa kuweza kuchukua bidhaa yangu pindi inapozalishwa tu kiwandani
Kwa ufupi mimi ni mzalishaji wa bidhaa ya mafuta ya mgando na bidhaa...
Hello members habari za mihangaiko na shughuli za kila siku I hope ni wazima wa afya
Mimi ni mjasiriamali ambaye mara nyingi najihusisha na maswala ya kutoa training za masomo mbalimbali kwa vikundi mbalimbali tena bila malipo ama hakika itoshe kwamba watu wengi wameweza kunufaika na mafunzo...
Helo habari za usiku mabibi na mabwana!
Hivi kuna anayejua bei za vyumba katka nyumba za kulala wageni Dar.
Msaada tafadhali kuna mtu anataka aje Dar kufanya shughuli zake anategemea kukaa mwezi guest kwa hiyo alitaka kujua bei halisi ili awe na mahesabu kamili.
Msaada kwa anayejua
Helloh wakubwa na wadogo natumaini mu wazima wa afya
Mimi ni mtanzania halali wa taifa hili
Ila kwa sasa sina kitambulisho chochote zaidi ya cheti cha kuzaliwa sasa nilikuwa naomba msaada ya kuwa ni jinsi gani naweza kupata pasport ya kusafiria na angali sina kitambulisho cha uraia wala mpiga...
Helloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa ssbsbu juzi nilijaribu kiwekeza tsh 60000 lakini leo nimepata faida ya tsh 42000 nitadumu ila kwa yule...
Hi !
Kwa sheria za nchi yetu ili uweze kuishi kwa amani ni muhimu ukawa na kitambulisho kinachokutambulisha ya kuwa wewe ni raia wa tanzania na vitambulisho hivyo ni pamoja na
Kitambulisho cha mpiga kura
Kitambulisho cha uraia n.k
Na hivi ndivyo vinakusaidia kwenye mambo mbalimbali kama...
Kama nilivyofafanua kwa yule anayejua jinsi ya kuunga kifurushi cha 5000 ambacho unapewa dakika 1400 kwa mwezi mitandao yote njoo pm au nitafute 0625840448
Hi
Nimeona vema sana kuanzisha uzi huu baada ya kuona watu wengi wamepoteza shauku la kuishi hii ni kwa sababu ya kushindwa kupata majibu kamili ya kile anachokihitaji hivyo tunaamini humu ndani kuna wataalamu wa kila sekta ikiwemo masuala ya uchumu,siasa,imani,mapenzi,afya,na masuala...
Hello!
Naombeni msaada kujua vitu muhimu ambavyo unaweza kuuza kwenye mgahawa na vikakuletea faida na vinapendwa na watu ukiachilia mbali na wali,chai na maandazi
R.I.P
samahani jamani naomba msaada Wa tafsiri Wa neno hili maana ni Mara nyingi nimeliona likitumika misibani Na kama MTU kafariki , kupokea/kutoa taarifa za kifo R.I.P ni nini maana yake???
R.I.P. msaada tafadhari maana nimejikuta napenda kulitumia angali sijui tafsri yake
Helo wakuu,
Ninaombeni msaada, kama kuna mbinu mbalimbali za asili za kutambua kuwa mimba ni yako au hata kama kuna vipimo ambavyo vinaweza kuonyesha maabara kwamba hii mimba ni yangu na vipi gharama zake?
Habari za mchana ndugu zanguni!
Kuna mambo mengine hata upinge kiasi gani yatabaki palepale hii ni kutokana Na uthibitisho nilioweza kuushuhudia kwa macho yangu mwenyewe jinsi mambo yanavoenda !
KUNA WATU FULANI HIVI WALIKUJA MITAA YETU NA KUTOA MATANGAZO KWA NJIA YA REDIO WAKIDAI...
Hi,
Jamani pesa zangu zimepotea kwa mazingira ya kutatanisha nifanyaje naombeni msaada? Najua mshana Jr, Mzizi mkavu na wengineo wataalamu wa mambo haya mtanisaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.