Msaada wa jinsi ya kupata wakala mkuu wa bidhaa yangu

comesucces

Senior Member
Feb 21, 2017
160
105
Pole na majukumu ya siku wapendwa
Nimeamua kuja katika forum hii lengo kuu likiwa ni kutaka kujua ni namna gani ayctaratibu zipi naweza kupata wakala mkuu wa kuweza kuchukua bidhaa yangu pindi inapozalishwa tu kiwandani

Kwa ufupi mimi ni mzalishaji wa bidhaa ya mafuta ya mgando na bidhaa zingine za viwandani kwa anayejua naombeni jinsi gan ntawapata/taratibu zipi za kufuata naombeni msaada tafadhali
 
Pole na majukumu ya siku wapendwa
Nimeamua kuja katika forum hii lengo kuu likiwa ni kutaka kujua ni namna gani ayctaratibu zipi naweza kupata wakala mkuu wa kuweza kuchukua bidhaa yangu pindi inapozalishwa tu kiwandani

Kwa ufupi mimi ni mzalishaji wa bidhaa ya mafuta ya mgando na bidhaa zingine za viwandani kwa anayejua naombeni jinsi gan ntawapata/taratibu zipi za kufuata naombeni msaada tafadhali
Bidhaa nyingine km zipi?
 
Pole na majukumu ya siku wapendwa
Nimeamua kuja katika forum hii lengo kuu likiwa ni kutaka kujua ni namna gani ayctaratibu zipi naweza kupata wakala mkuu wa kuweza kuchukua bidhaa yangu pindi inapozalishwa tu kiwandani

Kwa ufupi mimi ni mzalishaji wa bidhaa ya mafuta ya mgando na bidhaa zingine za viwandani kwa anayejua naombeni jinsi gan ntawapata/taratibu zipi za kufuata naombeni msaada tafadhali
kizuri chajiuza.WEKA PICHA ZA BIDHAA,BEI ZAKE ili tuanze kujilipua
 
Pole na majukumu ya siku wapendwa
Nimeamua kuja katika forum hii lengo kuu likiwa ni kutaka kujua ni namna gani ayctaratibu zipi naweza kupata wakala mkuu wa kuweza kuchukua bidhaa yangu pindi inapozalishwa tu kiwandani

Kwa ufupi mimi ni mzalishaji wa bidhaa ya mafuta ya mgando na bidhaa zingine za viwandani kwa anayejua naombeni jinsi gan ntawapata/taratibu zipi za kufuata naombeni msaada tafadhali
Asante
Hongera kwanza kwa kuwa na kiwanda na uzalishaji bidhaa za mafuta hasa ukizingatia unaendana na kauli mbiu ya Uchumi wa viwanda!
Baada ya hapo, kumpata wakala mkuu wa mauzo ya bidhaa zako kwa utaratibu mzuri ni hivi, ilikuwa vema wakati unaandaliwa maandiko (kama ulifanya hivyo) ambayo ni 'Business Plan, Business Feasibility Study na Business Work plan' ungekuwa na wakala tayari kabla hata hujaanza kuzalisha
Wakala Mkuu anaingia katika kipengele cha namna ya utekelezwaji wa mradi ie Business workplan' ambapo kunakuwa na mkataba wa kumpa mamlaka ya kuuza, masuala ya bei yeye atanunua kwako kwa sh ngapi na auze sokoni kwa sh ngapi na mkataba huu na mwongozo wake kwa ujumla unakufunga wewe kutouza kwa kila mtu akija kiwandani ila kwa kumshirikisha! Ni maelezo mengi na mapana kidogo ya utekelezaji na haki za kila upande
Faida yake ni kuwa we bidhaa ikishatoka kiwandani tayari inahesabika ishauzwa sio jukumu lako kujua nani ananunua labda itokee bidhaa ni mbovu sokoni hivyo kurudishwa kiwandani
Hasara yake wewe unabaki mzalishaji kama maelezo ya mkataba wa utekelezaji biashara yatakuwa hivyo
Anyway, kwa maelezo, ushauri zaidi waweza kutuma email katika iconsultbuzness@gmail.com na 0659211222
 
Asante
Hongera kwanza kwa kuwa na kiwanda na uzalishaji bidhaa za mafuta hasa ukizingatia unaendana na kauli mbiu ya Uchumi wa viwanda!
Baada ya hapo, kumpata wakala mkuu wa mauzo ya bidhaa zako kwa utaratibu mzuri ni hivi, ilikuwa vema wakati unaandaliwa maandiko (kama ulifanya hivyo) ambayo ni 'Business Plan, Business Feasibility Study na Business Work plan' ungekuwa na wakala tayari kabla hata hujaanza kuzalisha
Wakala Mkuu anaingia katika kipengele cha namna ya utekelezwaji wa mradi ie Business workplan' ambapo kunakuwa na mkataba wa kumpa mamlaka ya kuuza, masuala ya bei yeye atanunua kwako kwa sh ngapi na auze sokoni kwa sh ngapi na mkataba huu na mwongozo wake kwa ujumla unakufunga wewe kutouza kwa kila mtu akija kiwandani ila kwa kumshirikisha! Ni maelezo mengi na mapana kidogo ya utekelezaji na haki za kila upande
Faida yake ni kuwa we bidhaa ikishatoka kiwandani tayari inahesabika ishauzwa sio jukumu lako kujua nani ananunua labda itokee bidhaa ni mbovu sokoni hivyo kurudishwa kiwandani
Hasara yake wewe unabaki mzalishaji kama maelezo ya mkataba wa utekelezaji biashara yatakuwa hivyo
Anyway, kwa maelezo, ushauri zaidi waweza kutuma email katika iconsultbuzness@gmail.com na 0659211222
Maelezo mazuri je Wakala anatoa pesa kabla yakuanza uzalishaji?
 
Maelezo mazuri je Wakala anatoa pesa kabla yakuanza uzalishaji?
Inategemea na mkataba
Lakini kwa makampuni mengi niliyoyaandikia michanganuo hiyo na kuwa na mawakala wamekuwa hawatoi pesa za kununua mzigo mwanzo! Hii ina maana wanapewa kwa mali kauli. Masharti yake ikiwa ni malipo yafanyike ndani ya siku hiyo ikiwa na maana hakuna suala la mauzo kwa mkopo ie credit sales. Msingi wa mauzo ya 'cash' na malipo ya siku hiyo hiyo ni kumuwesesha mzalishaji kukidhi gharama za uzalishajinna suala la uzalishaji liwe lenye kuendelea asije kusimama kuzalisha kwa sababu ya ukosefu wa pesa
Baada ya biashara kusimama vema wakala atakuwa ananunua mzigo kwa 'cash' hivyo sokoni atakuwa na uamuzi wa kuuza kwa mkopo au kwa 'cash' kutokana na mzigo tayari sio wa mzalishaji tena!
Mfumo huu makampuni mengi makubwa yamekuwa yanautumia sana! Huwezi kukuta kampuni uzijuazo hapa Tanzania zinazozalisha then zinauza zenyewe laah hasha! Zenyewe huzalisha tu, kuuza, masoko nk hufanywa na wakala. Hapa hata risiti unapewa ya kampuni mama inayozalisha! Nje wakala anatambulika kwa jina la hiyo kampuni lakini kwa ndani ni kampuni inayojitegemea
 
Back
Top Bottom