Pete ya bahati: Nini faida na madhara yake?

Pete, inakuunganisha na nguvu za giza ( ufalme wa giza ), ili upate nguvu za unayo hitaji. Hasara yake, hutoweza kuji connect na nuru, bali utaenda na ulipoji connect
 
zinapatikana wapi kwa bei gani abari ya mbinguni baadae kwanza hapa duniani tulipo
 
Pete, inakuunganisha na nguvu za giza ( ufalme wa giza ), ili upate nguvu za unayo hitaji. Hasara yake, hutoenda mbinguni, bali utaenda na ulipoji connect
sawa lakini vitu vinavyokuconnect Na nguvu za Giza ni vingi sana Na haviishi tukianza Na bible,Simu,computer, magari,vyakula,vinywaji,Pete,n.k kwa vyote hivi sio mpango Wa mungu
 
Back
Top Bottom