comesucces
Senior Member
- Feb 21, 2017
- 160
- 105
Jamani kuna wizi umetokea kwa yule mwenye namba ya sirro anipm saivi
Nenda kituo kikubwa cha polisi zipo pale mapokezi utazipataJamani kuna wizi umetokea kwa yule mwenye namba ya sirro anipm saivi
Nenda kituo kikubwa cha polisi zipo mapokezi paleJamani kuna wizi umetokea kwa yule mwenye namba ya sirro anipm saivi
Ina maana huko kwenu hakuna kituo cha POLISI? Mkuu wacha uchochezi wewe,, unataka kutupaka matope kwamba hatuwajibiki? Hii siyo sawa kabisa kiongozi wangu!Jamani kuna wizi umetokea kwa yule mwenye namba ya sirro anipm saivi
Hata sirro atakwambia karipoti kituo cha karibu na wewe, so usipoteze muda nenda kituo chochote ripoti utasaidiwa. Hata ukimwambia sirro hawezi kufanya yeye watafanya wengneJamani ni wizi wa kimtandao aisee sidhani kama kituo cha kata watafanyia kwa wakati na limecompose watu zaidi ya mia nne waliobiwa pesa zaidi ya million mia tatu ko msijaji sana wakuu
Sio lazima uandikeKama ni wizi wa mtandao, watanzania wengi wanapenda sana short cut.
Usawa huu nijipeleke tu kwenye danganya toto ya utajiri mitandaoni??
Ningekutafutia namba lakini sioni sababu za msingi za kufanya hivyo.
Wajinga ndo waliwao
Elezea basi imekuaje kuaje na Ni nan huyo anaibia watu kimtandao Ili kuwasaidia wengine Kama wewe humu ndani wasiingie mkengeJamani ni wizi wa kimtandao aisee sidhani kama kituo cha kata watafanyia kwa wakati na limecompose watu zaidi ya mia nne waliobiwa pesa zaidi ya million mia tatu ko msijaji sana wakuu