Guest Dar kwa vyumba vya kawaida sh ngapi?

Guest Dar kwa vyumba vya kawaida sh ngapi?

comesucces

Senior Member
Joined
Feb 21, 2017
Posts
160
Reaction score
105
Helo habari za usiku mabibi na mabwana!

Hivi kuna anayejua bei za vyumba katka nyumba za kulala wageni Dar.

Msaada tafadhali kuna mtu anataka aje Dar kufanya shughuli zake anategemea kukaa mwezi guest kwa hiyo alitaka kujua bei halisi ili awe na mahesabu kamili.


Msaada kwa anayejua
 
Ukitoka tu watu wanapiga "short time"ukirudi unakuta shuka zimetandikwa upya ila ukizitoa godoro linakuwa limelowana na mara nyingine unakutana na harufu ya kinyasi
Uswazi huko, ila chaguo ni lake maana mfuko wake anaujua
 
Back
Top Bottom