comesucces
Senior Member
- Feb 21, 2017
- 160
- 105
Helloh wakubwa na wadogo natumaini mu wazima wa afya
Mimi ni mtanzania halali wa taifa hili
Ila kwa sasa sina kitambulisho chochote zaidi ya cheti cha kuzaliwa sasa nilikuwa naomba msaada ya kuwa ni jinsi gani naweza kupata pasport ya kusafiria na angali sina kitambulisho cha uraia wala mpiga kura… je naweza kutumia cheti cha kuzaliwa kupata pasport ya kusafiria na kwa utaratibu upi na ofisi zipi na kwa bei gani
Naombeni msaada wa mawazo hapo
Lakini pia inachukua muda gani kuipata
Msaada please
Mimi ni mtanzania halali wa taifa hili
Ila kwa sasa sina kitambulisho chochote zaidi ya cheti cha kuzaliwa sasa nilikuwa naomba msaada ya kuwa ni jinsi gani naweza kupata pasport ya kusafiria na angali sina kitambulisho cha uraia wala mpiga kura… je naweza kutumia cheti cha kuzaliwa kupata pasport ya kusafiria na kwa utaratibu upi na ofisi zipi na kwa bei gani
Naombeni msaada wa mawazo hapo
Lakini pia inachukua muda gani kuipata
Msaada please