Habari wadau,
Leo nimetoka zangu job, nikasema nipitie kwa jamaa nlimwachia kazi anibanie CD ya nyimbo za Manton..Nimefika pale jamaa bado ajamaliza, basi nikasema nikae nisubirie maana nyimbo nyingine alikuwa hana hivyo inabidi azidanlod.....
Tumekaa pale mara wakaja polisi kama 11 wenye...
Habari wakuu..
Tangu mwaka 2015 kuna watu walikuwa wakinyooshewa vidole kuwa ni mafisadi.Na wakatuaminisha kuwa endapo wataingia madarakani watawaanzisha mahakama ya mafisadi ili wayafunge hayo mafisadi.
Madaraka wakapewa ila cha ajabu bado wanalia na kunyoosha vidole kuwa yule ni fisadi...
Habari wadau, naomba wenye fact mje tujadili . Ukiitishwa uchaguzi leo wa usawa na haki kati ya CCM na CDM nani atashinda?
Naomba tuchangie kwa fact, point to point, Jazba, matusi visiwepo kwan hapo itasomeka kama moja ya dalili za kushindwa...Naanza Mimi...
CCM itashindwa.
Paka sasa...
Leo mchana nimeshuhudia rais akiwakaribisha walioamia CCM.
Ingawa nasikitika shughuli za kiserekali zikichanganywa na za kivyama huku wengine wakifungiwa kufanya shughuli kama hizo....This is unfair...
Chakusikitika zaidi mi wale waliotangaza kuhamia CCM...
Binafsi nlikuwa nawasikiliza kwa...
Tuliosoma Pugu boyz kuanzia miaka ya 2000 kuja juu njooni tupigeni story, kwanza mi nauliza kila Mara nipitapo ile njia kuelekea Kajiungeni huwa hali yangu inabadilika. Huwa nahisi kama narudi gerezani. Kiufupi nahisi nime afectika kisaikolojia na ile life ya pale, sijui nyie wenzangu...
Siku 100 za rais wa Ghana Nana Akufo Ado amefanikiwa kuimarisha uchumi alioukuta ukiyumba na kufanikiwa kudhibiti mfumuko wa bei kwa zaidi ya asilimia 12.
Pia Ameidhinisha kiasi cha dollar milion 100 million kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Source BBC:
Kaswali ka kizushi :
Mwaka na nusu wa...
Hii ni wiki ya pili kila nikilala naota Nmekamatwa na Trafic. Leo asubuhi nimeamka naenda kuoga nakutana na jirani yangu nae katoka kuoga kajifunga taulo jeupe na kichwani kavaa mfuko mweusi kuzuia maji... Nkashtuka kidogo nirudi ndani speed maana nmeona kama Trafic vile.
Jamaani kama ni njaa...
Jana nimeshuhudia Man u wakinichezea mpira flan hivi hadi nkaona raha.. Paka sikutamani muda uishe.
Sjui alichokuwa anafeli morinyo ni nini kama alikuwa anajua Herera anaeza mweka kifuan hazard paka ajiona hajui Mpira...
Costa kafichwa na baily paka anaomba poo.. Kante kajiona kama ndo anaanza...
They way no one expected that leicester could win the premier leage last season.. The same way no one will believe this. But time will talk.. Lets wait, but keep this in your mind Leicester is going to take this cup.
Kumezuka Tabia ya watu kuvamia watu na kuwakamata bila hata kujitambulisha wao ni kina nani na wanatokea wapi.
Tumeskia Roma kakamatwa na hajulikani alipo, wapo waliokamtwa kama hivyo na miezi sasa imepita bado hawajulikani walipo.
Swali langu.. Hivi serekali hususani wizara husika mbona...
Hili limekuwa tatizo sasa, wazazi mnawapa watoto wenu mizigo bila kujua. Majina yana tabia ya ku-reflect tabia ya mhusika... Mfano mtu anaitwa mashaka, tabu, shida, mawazo,hatia,majuto.
Matokeo yake mtoto akiwa mbaya mnaanza kumlaumu kumbe shida ni nyie.
Mfano mtu anaitwa kilevi... Alafu...
Najaribu kukumbuka ahadi za wakuu wetu kipindi kile cha kampeni.. Zilikuwa tamu sana tujikumbushe kidogo.
Babu nywele nyeupe alituahidi vingi, ngoja nimuulize kama bado anazikumbuka au ndo kashatupa jongoo :-
Mzeee,
Vip kuboresha makazi hasa ya watu wa vijijini
Vipi ahadi za kumsitiri mama...
Dear arsenal,
Nashkuru sana kwa kukubali mwaliko wa kuja kuchukua zawadi yako ya nafasi ya sita. Kama nilivyokwisha kusema mwanzoni kuwa nafasi hii nilipewa na kuambiwa niitunze paka nitakapompata mwaminifu kama mimi nimpatie, hatimaye nikakupata wewe. Natumai utaitunza paka mwisho wa...
Dear Arsenal
Natumai u mzima, Napenda kukujulisha kwamba kesho ntakukabidhi zawadi ya nafasi ya sita , zawadi hii nilipewa kwa mashart kuwa endapo na mimi nikimpata mtu mwaminifu nimpatatie, nimesubir sana ila hatimae nimekupata wewe. Natumaini utaitunza nafasi hii hadi mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.