Debate: CCM vs CHADEMA. Ukiitishwa uchaguzi wa haki Leo Nani atashinda

sir mweli

JF-Expert Member
Feb 8, 2017
495
572
Habari wadau, naomba wenye fact mje tujadili . Ukiitishwa uchaguzi leo wa usawa na haki kati ya CCM na CDM nani atashinda?
Naomba tuchangie kwa fact, point to point, Jazba, matusi visiwepo kwan hapo itasomeka kama moja ya dalili za kushindwa...Naanza Mimi...

CCM itashindwa.
  1. Paka sasa haijatimiza ahadi nyingi ilizoahidi wananchi kama viwanda, mil 50 kila kijiji, pembejeo za kilimo na ujenzi kushuka bei na nyingine nyingi.
  2. Maslahi ya wafanyakazi yameendelea kuwa duni licha ya hali ya maisha kuwa juu.
  3. Mikopo kwa wanafunzi iliahidiwa ila wachache ndo walofaidika.
  4. Wazee ambao ndo tegemeo lao ndo kila kukicha wanalia hali mbaya.
  5. Mahakama ya mafisadi iliyoahidiwa haipo, mafisadi wenyewe hatuwaoni.
  6. Serikali imeendelea kulitia taifa umaskini kwa kuvunja mikataba inayoligharimu taifa na kusababisha baadhi ya Mali zilizopo nje kukamatwa.
  7. Kuzuia bunge live hivyo kuwakosesha fursa wananchi kujua wabunge wao wanajadili nini..
  8. Kutumia fedha za umma kwa ufedhuli kama kuhonga madiwan ili wajiunge nao.
  9. Kusitisha ajira kwa wenye Vyeti fake, wakati wengine wakiachwa na ajira zao.
  10. Kusitisha ajira mpya kwa vijana
  11. Kuzuia mchakato wa katiba
  12. Zipo nyingi sana .. .ngoja niwapishe wengine....ila chondechonde matusi hapana tafadhali.
 
Habari wadau, naomba wenye fact mje tujadili . Ukiitishwa uchaguzi leo wa usawa na haki kati ya CCM na CDM nani atashinda?
Naomba tuchangie kwa fact, point to point.... Jazba, matusi visiwepo kwan hapo itasomeka kama moja ya dalili za kushindwa...Naanza Mimi...

CCM itashindwa...
1. Paka sasa haijatimiza ahadi nyingi ilizoahidi wananchi kama viwanda, mil 50 kila kijiji, pembejeo za kilimo na ujenzi kushuka bei na nyingine nyingi.
2. Maslahi ya wafanyakazi yameendelea kuwa duni licha ya hali ya maisha kuwa juu.
3.Mikopo kwa wanafunzi iliahidiwa ila wachache ndo walofaidika.
4.Wazee ambao ndo tegemeo lao ndo kila kukicha wanalia hali mbaya.
5.Mahakama ya mafisadi iliyoahidiwa haipo, mafisadi wenyewe hatuwaoni.
6.Serikali imeendelea kulitia taifa umaskini kwa kuvunja mikataba inayoligharimu taifa na kusababisha baadhi ya Mali zilizopo nje kukamatwa.
7.Kuzuia bunge live hivyo kuwakosesha fursa wananchi kujua wabunge wao wanajadili nn..
8.Kutumia fedha za umma kwa ufedhuli kama kuhonga madiwan ili wajiunge nao.
9.Kusitisha ajira kwa wenye Vyeti fake, wakati wengine wakiachwa na ajira zao.
10. Kusitisha ajira mpya kwa vijana

11. Kuzuia mchakato wa katiba
12..zipo nyingi sana .. .ngoja niwapishe wengine....ila chondechonde matusi hapana plz.
CCM itashinda kwasababu asilimia kubwa ya watanzania bado hawajitambii wanaishi maisha ya karne ya17 na huo ndiyo mtaji wao. Wanaaminishwa kikitawala chama kingine litakuwa na vita. Leo hii siyo TV kuna mtanzania hajasikia hata redio.
 
Uchaguzi wa "usawa na haki" ndo upoje? Na una tofauti gani na huu tuliouzoea? Hivi wapiga kura watabadilika? Na vipi kuhusu wasimamizi? Na waandaji je? Na vipi kuhusu ilani na Sera zitakuwa tofauti? Mleta mada wewe mwenyewe umeandika bila "usawa na haki" vipi utake uchaguzi wa haki?
 
Photo from bndilahomba.jpg
 
Habari wadau, naomba wenye fact mje tujadili . Ukiitishwa uchaguzi leo wa usawa na haki kati ya CCM na CDM nani atashinda?
Naomba tuchangie kwa fact, point to point, Jazba, matusi visiwepo kwan hapo itasomeka kama moja ya dalili za kushindwa...Naanza Mimi...

CCM itashindwa.
  1. Paka sasa haijatimiza ahadi nyingi ilizoahidi wananchi kama viwanda, mil 50 kila kijiji, pembejeo za kilimo na ujenzi kushuka bei na nyingine nyingi.
  2. Maslahi ya wafanyakazi yameendelea kuwa duni licha ya hali ya maisha kuwa juu.
  3. Mikopo kwa wanafunzi iliahidiwa ila wachache ndo walofaidika.
  4. Wazee ambao ndo tegemeo lao ndo kila kukicha wanalia hali mbaya.
  5. Mahakama ya mafisadi iliyoahidiwa haipo, mafisadi wenyewe hatuwaoni.
  6. Serikali imeendelea kulitia taifa umaskini kwa kuvunja mikataba inayoligharimu taifa na kusababisha baadhi ya Mali zilizopo nje kukamatwa.
  7. Kuzuia bunge live hivyo kuwakosesha fursa wananchi kujua wabunge wao wanajadili nini..
  8. Kutumia fedha za umma kwa ufedhuli kama kuhonga madiwan ili wajiunge nao.
  9. Kusitisha ajira kwa wenye Vyeti fake, wakati wengine wakiachwa na ajira zao.
  10. Kusitisha ajira mpya kwa vijana
  11. Kuzuia mchakato wa katiba
  12. Zipo nyingi sana .. .ngoja niwapishe wengine....ila chondechonde matusi hapana tafadhali.
CCM itashinda, kwasababu Tume ya Taifa ya uchaguzi ndiyo itakayosimamia zoezi zima.
 
CCM

Kwa sababu upinzani unajitengenezea matukio kutafuta huruma kwa kuisingizia uongozi wa sasa.

Hawana matanuzi kama kabla na wengine wapo kama kawaida walizoea vya kufuja pesa za wananchi pia.. wanalia nao.

Ya Katiba awamu iliyopita mengi yaliongelewa na wakarudi kuongoza tena.
 
CCM

Kwa sababu upinzani unajitengenezea matukio kutafuta huruma kwa kuisingizia uongozi wa sasa.

Hawana matanuzi kama kabla na wengine wapo kama kawaida walizoea vya kufuja pesa za wananchi pia.. wanalia nao.

Ya Katiba awamu iliyopita mengi yaliongelewa na wakarudi kuongoza tena.
Pointless
 
Uchaguzi wa "usawa na haki" ndo upoje? Na una tofauti gani na huu tuliouzoea? Hivi wapiga kura watabadilika? Na vipi kuhusu wasimamizi? Na waandaji je? Na vipi kuhusu ilani na Sera zitakuwa tofauti? Mleta mada wewe mwenyewe umeandika bila "usawa na haki" vipi utake uchaguzi wa haki?
Kama hujui hata uchaguzi wa haki na usawa upoje basi kazi ipo
 
Hatutaki uchaguzi wala kuongeza miaka iwe saba wala kupunguza iwe minne.JPM aendelee kunyorosha nchi. Mwenyezimungu awajaalie viongozi wastaafu umri mrefu.
 
kitashinda chama cha CHAUMA chini ya uongozi wa kiongozi mahiri HASHIM RUNGWE
 
Back
Top Bottom