Barua maalum kwa rafiki yangu Arsenal

sir mweli

JF-Expert Member
Feb 8, 2017
495
573
Dear Arsenal
Natumai u mzima, Napenda kukujulisha kwamba kesho ntakukabidhi zawadi ya nafasi ya sita , zawadi hii nilipewa kwa mashart kuwa endapo na mimi nikimpata mtu mwaminifu nimpatatie, nimesubir sana ila hatimae nimekupata wewe. Natumaini utaitunza nafasi hii hadi mwisho wa msimu.Lakin nawe kama utampata mwaminifu mpatie,ingawa stegemei maana hakuna mwaminifu kama wewe, Sina mengi ila nikuombe tu kesho usikose maana wewe ndo mgeni rasmi.
Ni mimi rafiki yako mpendwa.
Manchester United.
 
Dear Arsenal
Natumai u mzima, Napenda kukujulisha kwamba kesho ntakukabidhi zawadi ya nafasi ya sita , zawadi hii nilipewa kwa mashart kuwa endapo na mimi nikimpata mtu mwaminifu nimpatatie, nimesubir sana ila hatimae nimekupata wewe. Natumaini utaitunza nafasi hii hadi mwisho wa msimu.Lakin nawe kama utampata mwaminifu mpatie,ingawa stegemei maana hakuna mwaminifu kama wewe, Sina mengi ila nikuombe tu kesho usikose maana wewe ndo mgeni rasmi.
Ni mimi rafiki yako mpendwa.
Manchester United.
Weweee sio ya 6..everton kashinda huyo anakabidhiwa ya 7
 
Yan ngekua ns uwezo ngekudedisha mara moja
Kiaz ww omba tu mungu kwa
Vle mods wanarura kweny comment zang
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom