sir mweli
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 495
- 572
Leo mchana nimeshuhudia rais akiwakaribisha walioamia CCM.
Ingawa nasikitika shughuli za kiserekali zikichanganywa na za kivyama huku wengine wakifungiwa kufanya shughuli kama hizo....This is unfair...
Chakusikitika zaidi mi wale waliotangaza kuhamia CCM...
Binafsi nlikuwa nawasikiliza kwa makini..ndipo nlipogundua hawa jamaa walikuwa wamepangwa.
Kilichonifanya niamini hivyo ni baada ya kuona baadhi yao wakibabaika kutaja chama walipotoka
Mmoja alisema "Mimi nlikuwa (akataja cheo) wa chama cha CC...WA chama cha chadema".
Mwingine ndo alishindwa kabisa kugundua kama kakosea akazidi kuendelea hivyo hiyo kwamba " Mimi nlikuwa (akataja cheo) wa CCM, na Leo nimeamua kuhama na kuhamia CCM"
Kwa mwenyewe akili anagundua tu kuwa ni wafuasi wa CCM ndo maana limewakaa kinywani....
Niwashauri tu kuwa hivyo ni sawa na kujiibia mwenyewe kama c kujidanganya...
Ingawa nasikitika shughuli za kiserekali zikichanganywa na za kivyama huku wengine wakifungiwa kufanya shughuli kama hizo....This is unfair...
Chakusikitika zaidi mi wale waliotangaza kuhamia CCM...
Binafsi nlikuwa nawasikiliza kwa makini..ndipo nlipogundua hawa jamaa walikuwa wamepangwa.
Kilichonifanya niamini hivyo ni baada ya kuona baadhi yao wakibabaika kutaja chama walipotoka
Mmoja alisema "Mimi nlikuwa (akataja cheo) wa chama cha CC...WA chama cha chadema".
Mwingine ndo alishindwa kabisa kugundua kama kakosea akazidi kuendelea hivyo hiyo kwamba " Mimi nlikuwa (akataja cheo) wa CCM, na Leo nimeamua kuhama na kuhamia CCM"
Kwa mwenyewe akili anagundua tu kuwa ni wafuasi wa CCM ndo maana limewakaa kinywani....
Niwashauri tu kuwa hivyo ni sawa na kujiibia mwenyewe kama c kujidanganya...