Hata kama lakino bado mmarecani hana siraha za kumfumua corea kama wanazo wasingetia mashaka kumkataza mwenzao asitumie nyuklia na mwenzie amesema haachi hata siraha moja zote atatumia
Kwanza uongo mtupu ulioongea hapa osama ustake kutudanganya kuwa hicho kikosi ndio kilienda na kummaliza unafki mtupu kwanini hawajaonyesha video yake wanatuonyesha mapicha tu hakuna mtt humu jf na kama hao america wako vema kivita kweli mwenzie si amempa go ahead kuwa wapo tayari kwa vita muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.