- Thread starter
- #241
Hahaa mkuuHataki mazoeana m2 so nyie chongeeen mkimalize mkalale huko
Hahaa mkuuHataki mazoeana m2 so nyie chongeeen mkimalize mkalale huko
Mkijibiwa mnaandamana na mabango juuHahaa mkuu
Mwacheni kiba wetu kwanza ye ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wote Afrika.Sauti yake hata Celine Deone hamwezi
DuuhMwacheni kiba wetu kwanza ye ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wote Afrika.Sauti yake hata Celine Deone hamwezi
Bifu hilo ndo limemufikisha hapo alipo sasa , alikuwa ameshakuwa mvuta bangi mkubwa na mtafunaji mzuri tu wa mirungi
We umekurupuka usingizini au mbona kama macho yako hayaoni mbaliUnajielewa au umeamua kujitoa ufahamu ili nawe uonekane mchambuzi mahiri wa Kibakuli.
Labda umeeangalia vigezo vipi kwamba hizo nyimbo ni kali na zinakubalika kwa ulimwengu wa muziki duniani. Kwa taarifa yako sijui kama kiba ataenda kutoa video na Godfather, Jiulize kwanini jibu lipo kwa wimbo wake wa Mwana.Mi hakuna wimbo hata m1 ambao nimeukubali wa kiba even if mnasema ana sauti nzuri hivi,Wizkidayo ana sauti nzuri? Au bara afrika ye ndo mwenye sauti nzuri? Sijawahi sikia nchi za wenzetu msanii wa kiume kusifia sauti haya nayaona bongo tu.
Boya huyo hajui mziki mtu anaemsifia kila kila nyimbo anarudia melodi sasa mashabiki wake wanaakili kweli au wanajua mziki kweliEbu ficha utahira wako weka nyimbo za diamond za kufananishwa na hizo,alafu nyimbo hizo ndo zilimfanya alikiba ashiriki (one8project).Acha kujitoa ufahamu kuna siku alikiba alisema anaringia sauti nzuri kila mtu anajivunia kitu ambacho Mungu amemjalia.From no where tu unasema alikiba anategemea mgongo wa diamond alikiba ana kipaji ukitaka kujua huyu kuimbe ni fundi sikiliza hata nyimbo alizoshirikishwa
Na kudance pia anaweza, yan mambo aliyofanya kwenye 'aje rmx' c ya nchi hii, ile video haichoshi kuiangalia, ni mtazamo wangu tu.Mwacheni kiba wetu kwanza ye ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wote Afrika.Sauti yake hata Celine Deone hamwezi
Nenda zakoNa kudance pia anaweza, yan mambo aliyofanya kwenye 'aje rmx' c ya nchi hii, ile video haichoshi kuiangalia, ni mtazamo wangu tu.
To prove that you are human being please type (@$%&).Ali kiba BG UP sana diamond choko t kwanza voice hana hat mvut wa usanii han as sjui anajion star kwa kip au kwa sabab F M A ndoo inamtangaz