ourzbakari
Member
- Jan 31, 2017
- 54
- 22
Ameiga huyo staili za charle chaplin hana zake
Ni kweli kabisa nakuunga mkonoChaplin ni noma tafuta kitu inaitwa pay day mbona huyo mr bean ni mwanafunzi wa chaplin
I know but Charlie sio generation yanguBean hamuwezi Charlie Chaplin, Jamaa ni hatari kwa comedy za kimya kimya
Kumbe huku sio kwa wazalendomkuu uzalendo weka kando kidogo
huku kwa wanaoongea vitu realKumbe huku sio kwa wazalendo
Ahsante mkuuNakuunga mkono hakuna kama huyo na bado hajatokea wala kukaribia
Generation yako ndio ya Mr BeanI know but Charlie sio generation yangu
chriss rockKwa stand up comedians Trevor Noah ni kiboko....ila overall bado hajatokea kama Charlie Chaplin
Kwa mimi naona Mr. Bean ndo bora zaidi, ukitazama movie zake kibao alizoigiza lazima uvunjike mbavu kwa zile mbwembwe zake za vichekesho....
Wengine sijui mnasemaje katika hili?