Tengeneza jini la kulinda shamba lako au nyumba kwa kutumia kuku mwekundu

Umeanza mahabat badala ya kuondoa utata ulijitokeza.

Je quran haina muongozo wa kuita majini na kuyatumia???
Uwomuongozo unaowewe sio dini ya kislam tushawazowea nyie makafiri mtatunga sana uwongo umetoka kwenye kutengeneza umeanza na muongozo wa wakuyaita wanafki wa kubwa
 
Uwomuongozo unaowewe sio dini ya kislam tushawazowea nyie makafiri mtatunga sana uwongo umetoka kwenye kutengeneza umeanza na muongozo wa wakuyaita wanafki wa kubwa
Sasa mbona mapovu mapema namna hii!!!

Majini ni ndugu zenu,hata mnaswali nayo yanaelewa quran na yanaitii pia,sasa mtu akileta aya za kuyasomea mnaita ni ushirikina.how!!!
 
HUO NI USHIRIKINA!! NDUGU ZANGU JF MEMBERS KAMA MTAFANYA HIVYO IPO SIKU MTAKUJA KULIA THE WAY HUYO JINNI ATAKAVYOWAGEUZIA KIBAO
MWAMBIENI HUYO MLETA MADA AWAAMBIE MADHARA YA KUWEKA HILO JINI KTK SHAMBA NA AKIKATAA AU AKISHINDWA MIMI NTAWAWEKEA HAPA MADHARA YAKE
kwa hiyo ni yakweli haya aliyoyaleta huyu jamaa ya kuwa ukifuata utaratibu aliouelekeza utakuwa umefanya zindiko la jini?!
tafadhali ustaadh naomba madhara ya kufuata utaratibu aliouwasilisha hapa jukwaani.
 
Naomba kuuliza hizo surat nnaziat zote na surat muhilikat zote na surat lhajiz zipo kwenye kitabu gani na ni cha dini gani. Kama sijakosea kipo katika quran kitabu kitakatifu sana cha dini ya kiislamu. Samahani lakini, kama ni kweli. Basi dini hii ni ya kishetani inayobadilisha watu kuwa vichaa na kitabu hiki kutumika katika uchawi na makafara na ushirikina. kinyume kabisa na kuwa dini ya amani na upendo.

Hii ni dini mbaya sana!!!! Ina usanii mwingi sana.
 
Sasa mbona mapovu mapema namna hii!!!

Majini ni ndugu zenu,hata mnaswali nayo yanaelewa quran na yanaitii pia,sasa mtu akileta aya za kuyasomea mnaita ni ushirikina.how!!!
Majini ni viumbe kama alivyo mbuzi,binadamu,miti vyote vimeumbwa kumuabudu m/mungu wapo wabaya na wema kama ilivyo kwa binadamu hao majini unaowatharau wewe wapo wengine thamani kubwa kwa m/mungu kwa sababu wanamtii mwenyezi mungu na wanamuabudu kuliko wewe kafiri kwani kila kilicho na uhai lazma kimuabudu m/mungu
 
Majini ni viumbe kama alivyo mbuzi,binadamu,miti vyote vimeumbwa kumuabudu m/mungu wapo wabaya na wema kama ilivyo kwa binadamu hao majini unaowatharau wewe wapo wengine thamani kubwa kwa m/mungu kwa sababu wanamtii mwenyezi mungu na wanamuabudu kuliko wewe kafiri kwani kila kilicho na uhai lazma kimuabudu m/mungu
Sasa mtu akiwaita majini wema kwa kutumia quran na kuwapa kazi ya kumlindia shamba lake, kama afanyavyo kwa mbwa tatizo linatokea wapi????
 
images


VIFAA
kuku mwekundu jogoo
chungu kipya kikubwa
chumvi ya mawe kG1
ndimu kali 7
sindano 7
kitambaa chekundu mita 1

MAFUSHO YATAKAYOTUMIKA
ubani maka, sandarus, jawi , dhukuri, kafur mayti, haltiti, shubir, na unga wa mfupa wa kichwa cha ng'ombe

kisha utaanza kusoma surat nnaziat zote na surat muhilikat zote na surat lhajiz zote wakati huohuo utakuwa unamnyonyoa manyoya yule kuku unayatupia katika chungu na zile sindano unashindilia ktk mwili wa kuku huyo mpaka umalize manyoya yote kisha kuku akiwa bado yupo hai mfunge hicho kitambaa kama sanda utamzika katka kichuguu

wakati unazika soma tarakin mayti ya mtoto kisha useme ni adhabu gani iwe kwa mbaya wako ukiishazika funika hicho chungu juu yake
utakaa siku 21 majibu utayapata atakuja huyo mbaya wako akiwa mwehu ukimwangalia tu anakufa

usifanye kama hauna ujasiri wa kutosha.
source
tibazetu.blogspot.com
tibazetutz@gmail.com
Pepo wewe
 
Namna ya KUTENGENEZA JINI na umtumie kama rafiki, mpenzi au
msaidizi wako pasipo kukudhuru.

MAHITAJI/VIFAA.
-Udi 4 (4 incense sticks).
-Pete, cheni. (ring or chain).
-Mishumaa 3. mweupe, mweusi na mwekundu.
-Muda ni saa 6-10 usiku mwezi ukiwa mpevu.
-Chumba tupu na kisafi.
-kioo.
-lipstick nyeusi/nyekundu.
HATUA ZA KUFUATA.
1. Ingia ktk chumba ulichoandaa ktk muda
ulitajwa hapo juu ukiwa na vifaa vyote. Choma
udi yote kisha toka nje hadi imalizike kuungua
kisha rudi tena chumbani.
2. Kaa sakafuni kisha pangaa mishumaa yako
mbele yako kwa kufuatana ukianza kushoto
kwenda kulia. Anza na mshumaa mweupe,
mwekundu kisha mweusi(nafasi kati ya
mshumaa hadi mshumaa ni inchi 6(6 inches).
3. Sema maneno haya mara 6 “ALLAH SHAFIM
BARAT SHIU KAMIR”. Maneno hayo hutumika
kufungta geti la kule ulimwengu wa majini.
Hapo unakuwa umefungua geti tayari.
4. Washa mishumaa yako ukianza na mweupe,
mweusi kisha mwekundu. (kila rangi ina maana
yake, nyeupe inasimama badala ya amani,
nyeusi ni ulimwengu wa kijini na nyekundu ni
made material yao kwani wameumbwa kwa
moto).
5. Chagua aina ya jini umtakaye na jinsia yake.
Chukua kioo chako sasa kisha andika maneno
haya katikati ya kioo kwa kutumia lipstick yako,
“ALI ALLAH HAMAL JINNI”. Kisha kisha andika
jinsia yake MUSCHNA(Kwa jini wa kiume) au
VAMIR(kwa jini wa kike). Kisha andika AL
AMANI(yaani awe wa amani). Mwisho aina ya
jini kama vile.
*MAJIRR AL AMAR(huyu ana nguvu sana), * AL
AMAR(huyu ni wa pili kwa nguvu). *SUL AL
AMAR(ana nguvu za wastani) au CLOSUN ONTEI
(ana nguvu dhaifu).
6. Ukimaliza kuandika tu maneno hayo ktk kioo
JINNI atakuwa ktk chumba chako na utaona
kama kuna mtu vile lakini hutomwona. Utahisi
harufu ya manukato, kupumua na sense kama
kutembea nk.
7. Mwamrishe aingie ktk pete au mkufu
ulioandaa kwa kusema maneno haya “EWE JINI
NAKUAMURU UINGIE KTK PETE/MKUFU HUU”.
Kisha nyofoa nywele yako moja ya kichwami na
uichome kidogo kidogo ktk mishumaa yako
inayoendelea kuwaka kwa dk. 1-2.
8. Mfungie ktk pete kwa kusema mara 3
maneno haya “EN TIEN ALLAH CLMAN”.
9. Zima mishumaa yako kwa kuanzia
mwekundu, mweusi kisha mweupe. Futa
maneno uliyoandika ktk kioog.
Hapo pete yako au mkufu wako utakuwa na
JINNI na namna ya kumtumia nitawajuza.
Sasa kiarabu kiswahili huyo jini inakuwaje
 
Ingetolewa mada ya kukashifu ukristo hawa jamaa wa jf wangekuwa washautoa fasta kwa vile ni uislam wanapotezea endeleeni kuleta story ya kuchafua dini nyingine kwa mathumuni yenu huku mkipotezea dini yenu inayohalalisha ushoga na ndoa za jinsia moja huku mkisahau majini hayo hayo mnayatumia katika makanisa yenu kukusanyia sadaka na kuvuta watu katika makanisa
 
images


VIFAA
kuku mwekundu jogoo
chungu kipya kikubwa
chumvi ya mawe kG1
ndimu kali 7
sindano 7
kitambaa chekundu mita 1

MAFUSHO YATAKAYOTUMIKA
ubani maka, sandarus, jawi , dhukuri, kafur mayti, haltiti, shubir, na unga wa mfupa wa kichwa cha ng'ombe

kisha utaanza kusoma surat nnaziat zote na surat muhilikat zote na surat lhajiz zote wakati huohuo utakuwa unamnyonyoa manyoya yule kuku unayatupia katika chungu na zile sindano unashindilia ktk mwili wa kuku huyo mpaka umalize manyoya yote kisha kuku akiwa bado yupo hai mfunge hicho kitambaa kama sanda utamzika katka kichuguu

wakati unazika soma tarakin mayti ya mtoto kisha useme ni adhabu gani iwe kwa mbaya wako ukiishazika funika hicho chungu juu yake
utakaa siku 21 majibu utayapata atakuja huyo mbaya wako akiwa mwehu ukimwangalia tu anakufa

usifanye kama hauna ujasiri wa kutosha.
source
tibazetu.blogspot.com
tibazetutz@gmail.com


Huu ndiyo upungufu wa elimu uliyowakumbacWatanzania wengi, ikiwa pamoja na Viongozi. Tanzania tuko nyuma kwa mambo mengi ya kuamini ujinga na kukosa elimu ya kutosha. Naionea huruma nchi yangu, wasioelewa ni wengi.
 
Back
Top Bottom