Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,740
- 6,118
Hapo hamna vita wanazinguana tu. Waafrika tuna kila sababu ya kuomba hiyo vita isitokee kwasababu binafsi sina mpango kulipia mafuta 5000 kwa lita au kukosa dawa au miundo mbinu inayotelewa kwa hisani ya Wamarekani.