THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Checking...100%Ngonjera hizo
vita sio Porojo kama unakula Matango!!
Jiulize kwanini huwa haingii vitani yeye kama yeye
kwanini anaomba washirika!!?
Kama unashangiria hilo
jiandae kuona Historia mpya kutoka hao korea,
hawana chakupoteza hao
maana wao wapo Kando na Walimwengu siku nyingi tu.
Kombora linaweza tua kokote
hata Bukoba
Ilimradi limetumwa
hawa sio watu wakuchokozwa
Network searching...100%
Network connected !
Near by Tukuyu Mbeya.