Paradisehome
Senior Member
- Sep 3, 2017
- 146
- 143
Kkkkkk,,,acheni hayo wakuu,Ubaya wa kulimwaga.ni kuambiwa toa godoro nje likakauke.
Alafu nje kuna kademu unakapenda kinoma.na mother kakomaa ulitoe muda huo huo.
My brother unaweza ukazimia.
Kkkkkk,,,acheni hayo wakuu,Ubaya wa kulimwaga.ni kuambiwa toa godoro nje likakauke.
Alafu nje kuna kademu unakapenda kinoma.na mother kakomaa ulitoe muda huo huo.
My brother unaweza ukazimia.
Sijawah pata uzi wa kuchekesha hiviAisee
We kweli kiziboMimi nilikuwa stadi kwelikweli..! Nilikuwa najigeuza nakojoa kwa braza bmkubwa akija asubuhi brother ndiyo anakula kichapo..!
Nikiambiwa ni mimi nalia ile mbaya huku nikikomaa sijakojoa mimi, sasa siku moja nikamkojolea broo nyuma mbele kwenye mship dodo wake ukawa hapajaloana ile muda kidogo bmkubwa kaja kutuamsha akajua mchezo nilikula makofi ya matako mpaka leo sijawahi kojoa tena..!
Why nilikuwa nakojoa nilikuwa naogopa kuamka sababu ya PANYA walikiwa wanazurura wengi usiku.
We jamaa umenichekesha sana *****...
Ubaya wa kulimwaga.ni kuambiwa toa godoro nje likakauke.
Alafu nje kuna kademu unakapenda kinoma.na mother kakomaa ulitoe muda huo huo.
My brother unaweza ukazimia.
Ulikimwaga saa 6 na la saa 11 12 utalimwaga piaBora ukojoe karibu na asubuhi ukilimwaga saa 6 usiku ni shida.
mikojo ya kitoto inanukia ubwabwa ubwabwa
Aiseee mnatufanya tuonekaa machizi kwenye madaladala. Nimejikuta nacheka kwa nguvuUmenikumbusha mbali sana mkuu
kuna jamaa yeye haja kubwa ilimbana sana sema sasa alikuwa anaogopa kwenda chooni(choo kipo nje)
Akayabana sana mwishowe usingizi ukampitia akaanza kuota
Ameamka kisha yupo chooni anajisaidia huku anasikia rahaa gafla anasikia umotomoto kuja kushtuka tayariii kashayajaza
Mkuu si useme tu ni wewe??? Maana hebu tuambie ulijuaje kama alikuwa anasikia raha?? Ulijuaje kama alikuwa anasikia umotomoto??... Ulijuaje kama usingizi ulimpitia akaanza kuota kuwa yuko chooni anajisaidia???
Mkuu si useme tu ni wewe??? Maana hebu tuambie ulijuaje kama alikuwa anasikia raha?? Ulijuaje kama alikuwa anasikia umotomoto??... Ulijuaje kama usingizi ulimpitia akaanza kuota kuwa yuko chooni anajisaidia???
mkuu umenichekesha sana na hiyo mande ya mkojo...Weeee, huu mchezo hauhitaji hasira, nakumbuka mimi na bwana mdogo ( enzi hizo sasa hivi tu maofsa flani hivi usihoji) tulikuwa vikojozi mbayaa, kama mibakora tullichezea sana tu, tukaibuka na mbinu ya kulala kwa zamu aaa wapi ikafeli, tukaibuka na mbinu mpya, tunaongoa matandiko ( godoro anasa) tunajaladia asubuhi tuaamka na kurudishia mchezo unasonga, tena kwa mbwembwe tu natangaza tumeacha ukojozi, ngoma alikuja mgeni weee asubuhi ilitembea fimbo mbaya, nilisahau kukojoa kila nikikumbuka kipigo, tulimpiga mande kalowa chepe chepe.
Nyie watu nyie hebu acheni bwana!mimi nishabwanda sana tu ila nisiyo sahau ni siku nilienda kwa uncle ikawa late nikaamua ku overnight kule na nililala na suruali ile ile (enzi zile tuoipiga sana couldruoy ).
Mwanangu ugenini nikachafua ikabidi mtoko wa next day uwe shida maana cousins wangu age moja mademu (i was 10yrs or so) nikavaa ya kike moja mpaka suruali ifuliwe ikauke mpaka leo aunt nikisimanga watu wanaovaa za kike ananikumbusha hii makitu na huyo cousin wangu anasema nina bahati enzi zile foto foto ilikuwa hamna