Kuna jamaa wale wanao jiita sharks.. Wako bize kuwafanya vijana wenzao kuwa fursa wanawalipisha pesa nying kumbe kila kitu kipo YouTube. Kuwa makini kijana.
Nenda youtube Andika BIGBANKS tazama iyo video apo utagundua naongea nini. Mimi nilivyo search imekuja video ya tatu. Skiliza kwa makini...
Wadau nimepatwa na tatizo hata sijui nifanyaje nimepoteza hamu ya tendo la ndoa ghafla toka juzi.
Akili yangu haiko sawa sijui nini kimenipata asubuh mimi kwa kawaida wakati naamka uume unakuwa umesimama lakini toka juzi yani uume hausimami kabisa, kuna muda nakuwa na hamu ya tendo. Lakini...
Wakuu habar zenu.. Nina bucha liko mbagala Naitaji mtu wa kuniletea samaki kwa bei ya jumla.. Samaki sato na sangara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya mahusiano yetu kufa tutakubaliana tubak marafiki, huwa sipendi kuwa na uadui na ma x,
Jambo la kuwasiliana na kupeana ushauri au hata mawazo ya kimaisha huwa ndo kitu pekee kinachobak kati yetu.
X wangu akakubali tuwe marafiki, lakin akaanza kubadilika mara simu hapokei msg anasoma...
miaka ya nyuma kuna dawa ya kulainisha nywele ilikuwa inaitwa kalikiti.
je ni kweli ilikuwa inaitwa kalikiti?
ilo jina lina maana gani?
correct me if am wrong
wakuu kuna mtoto mzur sana anafanya kazi iyo kampun ya ndege precision air
najalibu kutia mistali, ila uyo mtoto wa ukweli sana, pamba mpya daily
hivi wanalipwa kiasi gan?
maana uyo mtoto kwa mapigo yake yananifanya ni waze mengi
wakuu habar zenu, since i broke up with my girl nimekuwa napenda kula vitu vyenye test ya kusisimua to relax my mind..
kutafuna majan ya mwarobaini hasa nyakt za jioni
kula vitunguu swaumu
kutafuna tangawiz
kutafuna karafuu iliyokaushwa
nimekuwa mtumiaji wa hivyo vitu kwa muda wa miezi 3...
wakuu Habari zenu... nauza la shamba kwa ajili ya kilimo.... shamba lipo vikindu eneo ni zuri lipo karibu na mto...waweza Fanya kilimo cha umwagiliaji.. ukubwa heka moja.. bei ni milion kumi na mbili.. maelewano yapo... picha ntaziweka soon.. njoo inbox kwa maelewano...kama ukitaka utapelekwa
Wakuu munaoishi uko germany... Napenda Kujua mnaishi vp? Je mnaruhusiwa kufanya kazi za kubeba box kama marekan..wabeba box mnalipwaje? . Je hambaguliwi!?..... Nataka Kujua hayo, sababu wakuu.. Maana tumekuwa tunaskia mengi kutoka diaspora wa marekan Leo am interested Kujuzwa kuhusu germany.
Wakuu habar zenu...kuna jamaa yangu yuko mkoa kachelewa Ku verify vyeti vya diploma ili apate kuomba chuo akasome bachelor.. Nacte walitoa dead line mwisho 15 august... Je nimsaidiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habar zenu kuna rafiki yangu Anataka Ku verify cheti chake cha diploma TCU ili aombe chuo ...naombeni muongozo ..je procedure zake zikoje?
Hii process ni bure au unatakiwa kulipia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari zenu kama kuna yoyote aliwai kwenda RITA kupata huduma basi pale kuna jamaa ana itwa OMARI , aisee huyu jamaa anaipenda kazi na ni mfano kwa wenzake .
Ingawa Kazi inachangamoto na watu ni wengi wanaotaka huduma lakini jamaa anamjibu kila mtu kwa heshima na ustarabu.
Hongera omari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.