mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Wakuu habar zenu...katika simu za tecno ..Ni toleo Gani lina kaa na chaj mda mrefu ..?
Sawa shukkran
Vp k9?Nimeona TECNO K7 inajitahidi sana kukaa na chaji, inakaa siku nzima pamoja na kiingia mtandaoni.
Du...ya mwez wa 7!Tecno again...fundi mzuri wa tecno yupo aggrey pale... Najaribu kujibu thread yako ya mwezi wa 7
L8 plusWakuu habar zenu...katika simu za tecno ..Ni toleo Gani lina kaa na chaj mda mrefu ..?