mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Baada ya mahusiano yetu kufa tutakubaliana tubak marafiki, huwa sipendi kuwa na uadui na ma x,
Jambo la kuwasiliana na kupeana ushauri au hata mawazo ya kimaisha huwa ndo kitu pekee kinachobak kati yetu.
X wangu akakubali tuwe marafiki, lakin akaanza kubadilika mara simu hapokei msg anasoma whatsapp ila hajibu
Basi mimi nikajua kashapata mtu binafsi sina tatizo na ilo, chakushangaza akiwa na shida zake mimi najibu simu na msg zake na kumsaidia inapowezekana.
Wakati huo huo ana screenshot maongezi anayofanya na watu wengine na kuweka kwenye whatsapp status
Sina lengo lolote la kurudiana naye, alinisapot sana kipind napitia wakat mgumu katika maisha yangu ni rafik ambaye nisingependa kumpoteza..
Nabaki najiuliza vitendo vyake vinamaana gani?
Jambo la kuwasiliana na kupeana ushauri au hata mawazo ya kimaisha huwa ndo kitu pekee kinachobak kati yetu.
X wangu akakubali tuwe marafiki, lakin akaanza kubadilika mara simu hapokei msg anasoma whatsapp ila hajibu
Basi mimi nikajua kashapata mtu binafsi sina tatizo na ilo, chakushangaza akiwa na shida zake mimi najibu simu na msg zake na kumsaidia inapowezekana.
Wakati huo huo ana screenshot maongezi anayofanya na watu wengine na kuweka kwenye whatsapp status
Sina lengo lolote la kurudiana naye, alinisapot sana kipind napitia wakat mgumu katika maisha yangu ni rafik ambaye nisingependa kumpoteza..
Nabaki najiuliza vitendo vyake vinamaana gani?