Nguvu za kiume zimepotea ghafla

mkata-mkaa

JF-Expert Member
Nov 16, 2016
296
181
Wadau nimepatwa na tatizo hata sijui nifanyaje nimepoteza hamu ya tendo la ndoa ghafla toka juzi.

Akili yangu haiko sawa sijui nini kimenipata asubuh mimi kwa kawaida wakati naamka uume unakuwa umesimama lakini toka juzi yani uume hausimami kabisa, kuna muda nakuwa na hamu ya tendo. Lakini nikiwa najiandaa kufanya tendo na mke wangu basi hamu inakata ghafla.

Siku ya kwanza hiyo hali kutokea nilidhanu uchovu lakini nilipojalibu siku ya pili ikawa vilevile hamna mabadiliko.

Hapa nilipo sina Amani. Nimeamua kufanya mazoezi ya kukimbia ili hali yangu iwe sawa.

Naishi kwa wasiwasi sana sijui nini kimenikuta, Leo ni siku ya nne sina Amani kabisa.

Naomba msaada wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu vingi husababisha 1 msongo wa mawazo 2 chakula kidogo 3 kelo za mtu uliye naye N.K
Kwa kuwa mshipa mdogo mwilini kuliko yote ni mshipa wa uume kwa hiyo hugawiwa chakula mwisho baada ya kutosheleza sehemu nyingine zote kama kuna ziada hupelekwa huko kama haipo haipewi ndipo unapo shindwa kuu similar
Kama una sehemu ya sababu hizo sahihisha huenda ndio kiini cha tatizo hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani jinsi ulivyoandika utadhani umegundulika una kansa sijui...! Petty ishu hizo jaman...mbn mnaendekeza sana dudu nyie watu? Utarudi kuwa kawaida!
Huu muda unaowazia hausimamishi kuna mwenzako anautumia kuingiza 100!shauriro
Maana kiungo chochote cha mwili kuna muda huwa hakijisikii vizuri kama vile ilivyo kwa mguu kufa ganzi au kiungo chochote kuonyesha hali isiyokuwa ya kawaida, ila ikija kwenye DYUDYU watu wanakosa raha unaweza ukawaambia hata kunywa maji ya chooni
 
Mi tatizo ni nguvu nyingi za kiume. Kuna mda nakua sihitaji kufanya kabisa lakini wife akinisogelea mashine inasimama mpaka nahic maumivu. Najikuta nafanya ili hali itulie. Sometime huwa nachoka sn lakn sina jinsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwanaume mwenzako nakuhakikishia kuwa hilo siyo tatizo ila itakuwa tatizo kwa jinsi utakavyozidi ku-panic.wakati nafanya fanya ujana miaka hiyo case hizi nimekutana nazo nyingi sana,kumchukua binti na kuingia naye lodge kisha mnara unaanguka ilikuwa kawaida but baada ya hapo siku zinazofuata nakuwa normal.

Nadhani ni mwili unapitia jambo fulani chukulia poa tu utakaa sawa ila ukishaanza kuingiza mambo ya nguvu za kiume zimepotea zitapotea kweli kutokana na hizi nguvu huwa tunazijenga kwenye mind zetu so kuanza kuwa na wasiwasi kwamba zimepotea ni kukubali udhaifu jambo ambalo ni baya.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
mkata-mkaa, Naomba nikushauri safiri kwa muda wa wiki mbili hata kijijini kwenu Kama Mambo sio Safi then rudi kwa mkeo, hii ndio dawa pekee ya nguvu za kiume.

Amini ninavyokwambia. Unachohitaji Ni mapumziko tu na si kingine. Utakuja kunishukuru badae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom