Wakuu, stop engine ni brake inayosaidia kupunguza mwendo katika gari kabla ya footbreak..ni common sana kwenye magari yote scania,volvo,benz,mitsubish nk. Nimechunguza sana gari hizi za kichina kuanzia Yutong mabasi haya mpaka malori cjaona stop engine/engine break..Ni kwanini pengine mchina...
Jana clouds fm kwenye kipindi cha sports xtra nilisikia kama wanamwongelea mchezaji wa zamani christopher alex anaumwa na anahitaji msaada. Ni huyu alex aliyecheza simba wakati flani? Anaumwa nini hasa?
Jeshi la Polisi Tanzania kupitia simu iliyotumwa kwa Makamanda Mikoa yote Tanzania bara limewataka askari wote wanaotumia vyeti vya kughushi wajiondoe wenyewe kwa kuacha kazi ama kuomba kustaafu kwa hiari la sivyo ikifika August 2014 watakamatwa na kufunguliwa mashtaka. What a shame!!!mtu...
Mfuko wa hifadhi ya jamii GEPF ambao zamani ulikuwa "provident fund" sasa umebadilishwa na kuwa "Pension fund" maana yake watalipa mafao ya kustaafu na pensheni ya kila mwezi kwa wanachama wao. Je wataweza kuendana na mfuko wa pspf ambao ni mkongwe katika ulipaji wa mafao,,What will the...
Je, maamuzi/maelekezo aliyoyatoa Mh Pm Pinda kuhusiana na mgomo wa wenye malori Tanzania na kumaliza mgomo ulioanza kuathiri uchumi wa Taifa kwa kasi yanaupa thamani halisi mshahara anaopokea ama bado akingali ana deni nasi?
kUNA WANAOKUMBUKA TUKIO HILI TAFADHALI,,,MBUNGE HUYU ALIKUWA NANI NA NINI ILIKUWA HATMA YAKE? UONGOZI WA WAKATI HUO NA WA LEO KATIKA KUSHUGHULIKIA KADHIA ZA NAMNA HII TUNA URATE VIPI?
Mkuu wa Jeshi la Polisi Said Ally Mwema amefanya mabadiliko kadhaa ya makamanda wa polisi Mikoa ambapo Kamuhanda ameondolewa Ruvuma na kupelekwa Iringa, Andengenye Thobias katolewa Arusha na kurejeshwa Makao makuu.
Je; Kamuhanda anaondolewa baada ya tume iliyoundwa kuchunguza mauaji yale ya...
Basi la Prince Muro T485BQV limepata ajali eneo la Senjele-Tunduma na kuua abiria mmoja na kujeruhi kadhaa! Basi hilo lililokuwa likitokea Dar kwenda Tunduma lilikuwa likijaribu kulipita/Overtake Lori ndipo liliacha njia na kupinduka. Chanzo kinadaiwa ni mwendo kasi!
Je mchezaji Athman Idd(Chuji) alikuwemo katika kikosi kilichocheza na Azam Jumamosi March 10? Chuji amekuwa akitajwa mara kadhaa kuwa mtovu wa nidhamu, katika vurugu zilitokea kwenye mchezo huo sijasikia popote akitajwa kuhusika. Hakuwemo katika kikosi au alikuwemo isipokuwa kabadilika na kaacha...
Wakuu ajali hii inadaiwa kutokea March Mosi kwa basi hili kugongana uso kwa uso na gari ndogo. Kama kuna mwenye taarifa zaidi za mahali/eneo ajali ilitokea,if it was fatal nk. atujuze zaidi wanajamvi
Kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" Wilayani Chunya wamevamia na kuvunja kituo cha Polisi Lupa Tinga Tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo Said Msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.