Huyu mzee apumzike tu, aachane na mipango ya kuelekea magogoni!! Sema kuna jambo mhimu lazima alitimize! nalo ni kuondoa udikteta wa rais wa kuwachagulia wanaCCM mgombea urais. Hiyo iachwe iwe huru.
Mimi naona wote ni wazee sema mmoja anaweka rangi kwenye nywele zake kuficha uzee. Wote ukiangalia sura zao hawana tofauti sema mmoja anaonekana bado wamo ingawa kuanguka kwake mwaka 2010 ni dalili za mvua kama issue ni afya za wahusika.
Mkuu mbona lowasa anapata hiyo huduma kama mawaziri wakuu wengine. Hata safari zake za kwenda nje kuchekiwa macho yake mara kwa mara zinagharamiwa na serikali
A fanatic is the person who can't change his mind and will not change the subject...kila siku Lowassa,Lowassa,HAMCHOKI?he's surely a hard nut to crack,MTAKOMA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.