Wananchi wavunja kituo cha polisi na kuchoma moto nyumba za askari polisi

mmbangifingi

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
2,839
559
Kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" Wilayani Chunya wamevamia na kuvunja kituo cha Polisi Lupa Tinga Tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo Said Msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari ya Lupa Tinga Tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi. Aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. Mwenyekiti wa kijiji cha Lupa Tinga Tinga William Mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

MY TAKE:
Hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?
 
Jeshi la polisi tunakwenda wapiiiiiiiiiiiiiiiii kwa mauaji haya ya wananchi kila kukicha kila kona ya nchi hii na viongozi wa juu kuona ni haki tu?
 
Saed Mwema katika hili Hassani Tabora na lile la Saed kule Lupa nalo kazi itakua ni muomba radhi na watu kusahau sio? Tunajenga uhusiano wa aina gani kati ya polisi na raia hivi sasa???

Je wale vijana walioona kijana mwenzao akichukuliwa pale walikokua wanacheza pool na jinsi gani kupatwa na mauti kinyama kiasi hicho mbele ya macho yao hadi hapo Waziri Nahodha utakua unaona kitu gani kitakachofuatia hapo kote nchini??????

Wanaharakati nchini, enyi walinzi wa haki za binadamu mko wapi wakati haya yote yakiendelea kuwakumba wananchi kila kona ya nchi kila kukicha?

Kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" Wilayani Chunya wamevamia na kuvunja kituo cha Polisi Lupa Tinga Tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia.

Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo Said Msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari ya Lupa Tinga Tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi.

Aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. Mwenyekiti wa kijiji cha Lupa Tinga Tinga William Mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

MY TAKE:
Hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?
 
Waacheni wachome kabisaaa, wanaunga mkono wachome na ofisi za mabwana wao ccm pia, wachome vituo vyote vya mbwa wa ccm, pumbafuu zao hawana adabu kama mbwana zao. Piga moto vituo vyote na bila kusahau kuwachoma moto na hao mbwa wa ccm
 
Kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" Wilayani Chunya wamevamia na kuvunja kituo cha Polisi Lupa Tinga Tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo Said Msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari ya Lupa Tinga Tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi. Aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. Mwenyekiti wa kijiji cha Lupa Tinga Tinga William Mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

MY TAKE:
Hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?

It will end kwenye freedom ya ukweli, Hii nchi inahitaji kukombolewa kutoka kwenye utawala wa kipumbavu na kuelekea kwenye utawala wa Sheria
 
Chunya Wana AKILI SANA.

Watanzania tuache kulialia kama watoto wadogo.

Sasa naelewa wale Wababa wanaopiga watoto wao wakija nyumbani wanalia na kisa eti "wamepigwa."
 
Tuna hasara tosha kwa hawa askari.

Namwamini mbwa wangu pale nyumbani kuliko askari wa leo hii hapa Nchini!
Ni kheri itafutwe kampuni moja ikabidhiwe kazi hii na wote waliopo wafutwe!

Haki imetoweka kbs kwa wanainchi wapenda Nchi yao!
 
Jeshi la polisi tunakwenda wapiiiiiiiiiiiiiiiii kwa mauaji haya ya wananchi kila kukicha kila kona ya nchi hii na viongozi wa juu kuona ni haki tu?

RCO mkoani Mbeya Elias Mwita kaishia kushawishi/omba baba mzazi wa marehemu aupokee mwili na kuuzika badala ya kukamata askari wote waliohusika,its real shame
 
kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" wilayani chunya wamevamia na kuvunja kituo cha polisi lupa tinga tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo said msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika sekondari ya lupa tinga tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi. Aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. Mwenyekiti wa kijiji cha lupa tinga tinga william mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

my take:
hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?

i m shocked!
 
Kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" Wilayani Chunya wamevamia na kuvunja kituo cha Polisi Lupa Tinga Tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo Said Msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari ya Lupa Tinga Tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi. Aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. Mwenyekiti wa kijiji cha Lupa Tinga Tinga William Mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

MY TAKE:
Hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?

WALIAMBIWA BILA KUTENDA HAKI NCHI HAITATAWALIKA! Wanajidai ubishi.
 
Kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" Wilayani Chunya wamevamia na kuvunja kituo cha Polisi Lupa Tinga Tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo Said Msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari ya Lupa Tinga Tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi. Aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. Mwenyekiti wa kijiji cha Lupa Tinga Tinga William Mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

MY TAKE:
Hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?


Nionyesheni kwa ustaadhi Masaburi nimpelekee swali hili: "IGP MWEMA NA WADOGO ZAKE WANATUMIA NINI KUFIKIRI?"
 
Hii ni kauli nzito ajabu hapo kwenye RED.

Pindi wananchi tunaposukumwa kiasi hiki na hata kufika mahala na kujionea kwamba sasa hadi hapa ukweli wa mambo ni kwamba kitu HAKI NI BIDHAA AMBAYO TAYARI IMETOWEKA, hakika nakwambieni, vitendo vitakavyofuatia mara baada ya maafikiano ya aina hii kati ya mtu na nafsi yake mara nyingi hufuatia wazo la 'KAMA UNYAMA NI UNYAMA TU'.

Rais Kikwete vuia nchi kwenda hapo, zuia vijana wako kutuua la sivyo wananchi tutaanza kusema yametosha hatutaki tena mbichi hizi!!!!!


Tuna hasara tosha kwa hawa askari.

Namwamini mbwa wangu pale nyumbani kuliko askari wa leo hii hapa Nchini!
Ni kheri itafutwe kampuni moja ikabidhiwe kazi hii na wote waliopo wafutwe!

Haki imetoweka kbs kwa wanainchi wapenda Nchi yao!
 
kuna habari,, wananchi "wenye hasira kali" wilayani chunya wamevamia na kuvunja kituo cha polisi lupa tinga tinga kisha kuchoma moto nyumba mbili za askari polisi na moja ya raia. Tukio limefuatia baada ya askari polisi hao kumuua kwa kipigo said msabaha,mwanafunzi wa kidato cha pili katika sekondari ya lupa tinga tinga kwa tuhuma za kuiba simu ya mkononi. aidha wananchi hao wamechoma moto duka la vinywaji linalomilikiwa na askari polisi mmoja kijijini hapo. mwenyekiti wa kijiji cha lupa tinga tinga william mbawala amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

my take:
hii ni dalili ya wananchi/raia kuchoshwa sana na ukatili wa wenzetu hawa askari polisi waliotazamiwa kuwa walinzi wa raia na mali zao. Where will it end?


kumbe arusha tulikoseaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
askari ana miliki duka la vinjwaji!enzi za nyerere huyu askari angeipata!ndio maana wizi rushwa haviishi
 
badala ya kuwalinda raia wanawalinda mafisaidi........sasa raia tunajilinda wenyewe!
na mwendo ndo huohuo
 
Back
Top Bottom