Sawa sikatai mmenipa mkopo nimesoma kwa mkopo wa HESLB sasa hata matokeo sijapata ya mwaka wa mwisho nimemaliza chuo mwezi wa saba mwaka huu na mwezi wa nane mnaanza kunikata kweli jamani.
Natambua mnanidai sijakataa lakini si mngesubiri nipate hata cheti nibadilishiwe muundo nianze kuwalipa...
Ndugu zangu naomba niwataarifu kuwa Sensa ya Watu na Makazi 2022 itahusisha madodoso manne:
1: Dodoso la Jamii
2: Dodoso la Sensa ya Watu na Makazi
3: Dodoso la Makundi Maalum
4: Dodoso la Majengo
1. Dodoso la Jamii litaanza kwa kumuhoji mwenyekiti au mjumbe wa kitongoji au mtaa juu ya uwepo wa...
Nimeomba mkopo tangu mwezi wa tatu na nikakamilisha process zote maana mimi ni mtumishi wilaya x cha ajabu mwezi wa nne wamenikata kwenye mshahara na tena mwezi wa tano wamenikata hela yangu cha ajabu hata kwenye account hawajaniwekea hiyo hela niliyokopa nimefuatilia mpaka nimechoka kila...
Naishauri serikali yangu kuhusu mtaala wetu wa elimu uweze kubadilishwa na kuwa wa mfumo wa hivi 2:6:4:1:2:3
Miaka 2 ya mwanzo ni elimu ya awali
Miaka 6 elimu ya msingi
Miaka 4 elimu ya Sekondari
Mwaka 1 elimu ya ufundi ktk fani mbalimbali za ufundi kwa wanafunzi wote wanaohitimu elimu ya...
Wadau naombeni msaada wa kupata kitabu hiki:
BASIC CONCEPTS AND PERSPECTIVES IN HISTORICAL SCHOLARSHIP.
Mwandishi: MIHANJO P.A.N.E(2008), Dar es salaam-university press au hata mwandishi mwingne ila nashida sana na kitabu hiki please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu juzi ile nahangaika nipate code lkn hawatumi ni confirm chuo kwani nimechaguliwa vyuo viwili course hiyo hiyo moja na unatakiwa uchague chuo kimoja na wao TCU watakutimia code lkn mpaka wa leo bila bila tu au Kuna mtu amefanikiwa kwenye hili wale wa multiple selected
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo...
ndo mjue mkiona kimya hivyo ndo wameishiwa na mawazo hii timu msimu huu hakuna cha simba wala yanga, mpaka sasa mwenendo ni mzuri sana na usajili umefanyika vzr tu, kwa wale wanaopenda maumivu na mawazo mkashabikie timu ya taifa ya Tanzania huko msiri inavyopigwa bila huruma mbele ya viongozi wa...
Naamini hapa Kuna kila aina ya wataalamu naombeni unipe maswali yanayotoka sana NECTA ni solve mtihani umekaribia lkn naona na hali ngumu nitaleta mrejesho kwa wale wataonipa maswali
Sent using Jamii Forums mobile app
wadau yule kijana aliyetoka kigoma kwa treni kuja kusaka maisha DAR amefia wapi mbona kimya au baada ya kufika DAR mambo yamekuwa tofauti?. Maana alikuwa anatoa taarifa kila hatua akifika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.