test man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 1,013
- 948
Nimeomba mkopo tangu mwezi wa tatu na nikakamilisha process zote maana mimi ni mtumishi wilaya x cha ajabu mwezi wa nne wamenikata kwenye mshahara na tena mwezi wa tano wamenikata hela yangu cha ajabu hata kwenye account hawajaniwekea hiyo hela niliyokopa nimefuatilia mpaka nimechoka kila nikipiga simu wananiambia suala linashughulikiwa mpaka lini?.
Mbona bank zingine haziko hivyo na waliniambia mshahara wangu nibadilishe account nilikuwa NMB nikahamia huko CRDB mnachonifanyia mnakosea si haki kabisa kuwa hivyo mnafeli wapi?
Maana mara mniambie mtandao unasumbua Mbona mshahara mnaingiza hela na kwenye makato mko makini huu ni utapeli kabisa kutoka bank ya CRDB angalieni salary slip ya mwezi huu lkn kwenye account yangu hawajaweka hata mia ya mkopo nilioomba.
Mbona bank zingine haziko hivyo na waliniambia mshahara wangu nibadilishe account nilikuwa NMB nikahamia huko CRDB mnachonifanyia mnakosea si haki kabisa kuwa hivyo mnafeli wapi?
Maana mara mniambie mtandao unasumbua Mbona mshahara mnaingiza hela na kwenye makato mko makini huu ni utapeli kabisa kutoka bank ya CRDB angalieni salary slip ya mwezi huu lkn kwenye account yangu hawajaweka hata mia ya mkopo nilioomba.