Wajuzi wa kushona mashati ya vitenge au vitambaa

Wajuzi wa kushona mashati ya vitenge au vitambaa

Habari mafundi wote nguo Kuna watu 30 wanahitaji kushona mashati tu sare so naomb uone she mitindo unayoshona upate tenda hii
Upo mkoa gani?? Kama upo dar kuna fundi anashona vizuri sana ukihitaji njoo pm yupo sinza na bei zake ni nzuri
 
Mkuuu tafuta mdau aliyeko Kigoma akupe mafundi Wahutu toka Burundi wanashona zaidi ya Mchina. Achana na longolongo za mafundi wa Kibongo toka Tanga hakuna kitu humo.
 
Upo mkoa gani.?
Wenyewe kwanza waseme wanataka mtindo gani ?fundi anashona kila mtindo kuna fundi yupo iringa mjini ni hatari
 
Upo mkoa gani.?
Wenyewe kwanza waseme wanataka mtindo gani ?fundi anashona kila mtindo kuna fundi yupo iringa mjini ni hatari
yupo maeneo gani huyo ndugu, nataka nipate shati moja matata la kitenge niwe sare na shemeji/wifi yako?
 
Back
Top Bottom