KURASA ZA CHUMA...DIBAJI YA MAWE.
Ni ngumu sana kujifunza kuandikia Mashoto ndani ya Mitihani ya kuhitimu (Final Exams) inabidi uwe umejizoesha tangu awali.
JK is One of the Best Politician of all around, na pia Rais Mstaafu wa JMT, leo sijadili Mazuri au Mabaya yake bali haiba, Ucheshi na...
Baada ya upinzani kupoteza dira na kukosa ajenda mbele ya wananchi.
Sasa hivi wameungana na wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi.
CHADEMA baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi sasa wamebuni mbinu ya kuungana na majambazi na kujiteka ili wapate umarufu wa kisiasa.
Lakini...
Kitendo cha Lowassa kuteuliwa na CHADEMA kugombea urais mara tu baada ya kuhama CCM na kufukuzwa kwa Dr. Slaa aliyekipigania CHADEMA kwa jasho na damu, pia kitendo cha Laurence Masha kuteuliwa kugombea ubunge wa Afrika Mashariki na kuwaacha wakongwe walioipigania CHADEMA ni mwendelezo wa makapi...
Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Ukweli ni kwamba Mbowe, Gwajima, Manji, Idd Azan, Ridhiwani etc ,kuhusu kuuza madawa ya kulevya hawajaanza kutajwa na RC Makonda tu.
Tangu miaka 20 iliyopita jamii imekuwa ikisema club billicanas kilikuwa ni kituo kikubwa cha kusambaza madawa ya kulevya.
Ridhiwani Kikwete tangu yuko shule...
Iko wazi kuwa bunge ni mhimili unaojitegemea na ni sehemu ambayo sheria za nchi hutungwa.
Kwa umuhimu huo, si busara kwa wabunge kuwa na hata tone la tuhuma zinazoenda kinyume na maadili ya Tanzania.
Hivi karibuni zimetolewa tuhuma nzito zikielekezwa kwa baadhi ya wabunge wetu tuliowaamini...
Amani ya bwana.
Baada ya kuondoka Dr. Slaa, CHADEMA ikaacha misingi na miiko ya chama na kuanza kuokoteza wana chama wenye tuhuma za ufisadi na Uuzaji wa madawa ya kulevya.
Lowasa pamoja na kwamba amezeekea serikalini lkn hamna cha kukumbukwa nacho. Monduli ameacha wananchi wanakunywa maji...
Watuhumiwa na wauza madawa ya kulevya wote Mungu anawaona kwa kuuwa nguvu kazi ya taifa letu na siku ya mwisho mtachomwa moto.
Cha ajabu kabisa wauza madawa ya kulevya ni viongozi wakubwa wa vyama vya siasa! Mnarubuni Vijana wetu kwa kuwalisha ngada na kugeuka mazezeta ambao hawawezi kupinga...
Leo vigogo wa usaliti wametimuliwa ccm licha ya kuwa na fedha na umaarufu mkubwa.
Lowasa alikatwa ccm licha ya umarufu na fedha nyingi.
Hivyo basi ccm, usipofuata maadili hata uwe na nguvu vipi utatimuliwa tu.
Hali ni tofauti kwa chadema, watu wanatuhumiwa kula ruzuku na kuuza madawa ya...
Amani ya bwana.
Wahenga walinena kuwa nyota njema huonekana asubuhi, vile vile pia nyota mbaya huonekana asubuhi.
Chadema tumeweza kufanya haya kwa nchi yetu kwa muda mfupi Sana mara tu baada ya Lowasa kujiunga na chama chetu,.
Hata kabla ya kushika dola chadema tumekuwa na ujasiri wa...
Kwa miaka mingi tuliteseka sana kila tunapotaka kusafiri ziwa nyasa.
Lakini kutokana na kuisha kwa ujenzi wa meli 3 chini ya usimamizi mahiri wa mbunge wetu Dr Mwakyembe tatizo hili limeisha sasa.
Hongereni sana wana kyela.
=======
Kaimu Mkuu wa Bandari ya Itungi - Kyela katika Ziwa Nyasa...
Miaka yote tumekuwa tukiambiwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana, na haiwezekani kuishinda.
Lakini kupitia mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda ,tumejifunza kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tukiwa serious.
Hao wanaopiga tantarila kuwa hii vita ni ngumu hawako serious ni waongo...
Kuna utafiti ulifanyika huko Uingereza na kubainisha kuwa Tanzania ndio nchi ya wanafiki zaidi duniani, mwanzoni nilipinga lakini tangu hili sakata la madawa ya kulevya lianze nimeamini utafiti ule ni kweli.
Tangu zamani wapinzani hasa CHADEMA ndio walikuwa wakipiga kelele kuwa serikali ichukue...
Kuna utafiti ulifanyika huko uingereza na kubainisha kuwa Tanzania ndio nchi ya wanafiki zaidi duniani, mwanzoni nilipinga lakini tangu hili sakata lá madawa ya kulevya lianze nimeamini utafiti ule ni kweli.
Tangu zamani wapinzani hasa chadema ndio walikuwa wakipiga kelele kuwa serikali ichukue...
Kwa jinsi mikito ya kisiasa inavyoenda sasa hivi, mtu yoyote makini anaweza kutabiri upepo wa kisiasa utakavyokuwa kwenye uchaguzi kwa ngazi zote mwaka 2020.
Kwa sasa ccm wanajitahidi kadiri ya uwezo wao kupambana na rushwa,ufisadi na madawa ya kulevya kwa nguvu zao zote.
Elimu bure, serikali...
Watanzania wenzangu tangu taifa hili lipate uhuru miaka 50 iliyopita, viongozi wamekuwa wakipambana na madawa ya kulevya kupitia operation mbali mbali.
Sokoine, Mrema na waziri mwakyembe wapo kwenye rekodi kama viongozi waliopambana vikali na biashara ya dawa za kulevya enzi zao...
Ni jambo la kusikitisha sana sisi wapinzani tumejipa Kazi ya kutetea kila mtuhumiwa tukizani ndio wananchi wanachotaka kumbe ndio tunashusha hadhi ya upinzani mbele ya wananchi!
Kitendo cha juzi cha upinzani kuungana na baadhi ya wabunge wa ccm, kutetea wauza madawa ya kulevya ni jambo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.