Wauza madawa ya kulevya wote mnauwa nguvu kazi ya taifa, shame on you

Lupyeee

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
2,683
2,820
Watuhumiwa na wauza madawa ya kulevya wote Mungu anawaona kwa kuuwa nguvu kazi ya taifa letu na siku ya mwisho mtachomwa moto.

Cha ajabu kabisa wauza madawa ya kulevya ni viongozi wakubwa wa vyama vya siasa! Mnarubuni Vijana wetu kwa kuwalisha ngada na kugeuka mazezeta ambao hawawezi kupinga maamuzi yoyote ya Mwenyekiti.

Hata mkiuuza chama kwa mafisadi Vijana wetu wanashangilia tu.

Chama hakina ofisi na ruzuku ya chama haijulikani inaenda wapi lakini kwa sababu ya ngada yenu Vijana wetu wanashangilia tu.

Wauza madawa ya kulevya wote, acheni kabisa hiyo tabia Mungu anawaona.
 
Stering amenaswa kwenye wino!!! Wewe ndio unajitokeza picha liliisha isha hilo mkuu!! Tuna taka vyeti kwanza!!! Mwenye jukumu la kulinda wananchi ni serikali kama imeshindwa sio kulaumu watu!!! [HASHTAG]#vyeti[/HASHTAG] kwanza eboooo
 
Hats we we Mungu anakuona na atakuadhibu kabla kwaresma Keisha kwa kusema uongo ili hali ukweli unaujua na umeamua kuifunika ili kuwachafua wasio na hatia. Uongo was aina yako hauvumiliki tena karne hii. Nani asiyejua kuwa wenye kumiliki na kujihusisha na biashara zote chafu na zenye madhara makubwa kwa jamii ni wavaa kijani kibichi na wengine wana vyeo na madaraka makubwa tu serikalini na wengine ni watoto wao? Ile list iliyotajwa na wale wakenya uliona jina la mpinzani?
Na kwanini mpaka Leo mmeifunika? Au in kwa vile imewataja wenyewe kama vinara was kuingiza na kuuza mihadarati? Tafuta njia nyingine ya kujipendekeza na kuwafool wajinga wenzio kwani siye werevu tumeishawang'amua kitambo. By the way, nawe umepewa likizo ya miezi mingapi kwenda bondeni?
Watuhumiwa na wauza madawa ya kulevya wote Mungu anawaona kwa kuuwa nguvu kazi ya taifa letu na siku ya mwisho mtachomwa moto.

Cha ajabu kabisa wauza madawa ya kulevya ni viongozi wakubwa wa vyama vya siasa! Mnarubuni Vijana wetu kwa kuwalisha ngada na kugeuka mazezeta ambao hawawezi kupinga maamuzi yoyote ya Mwenyekiti.

Hata mkiuuza chama kwa mafisadi Vijana wetu wanashangilia tu.

Chama hakina ofisi na ruzuku ya chama haijulikani inaenda wapi lakini kwa sababu ya ngada yenu Vijana wetu wanashangilia tu.

Wauza madawa ya kulevya wote, acheni kabisa hiyo tabia Mungu anawaona.
 
Back
Top Bottom