Kuna haja ya kuendelea kuamini kuwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu,?

Lupyeee

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
2,683
2,818
Miaka yote tumekuwa tukiambiwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana, na haiwezekani kuishinda.

Lakini kupitia mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda ,tumejifunza kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tukiwa serious.
Hao wanaopiga tantarila kuwa hii vita ni ngumu hawako serious ni waongo tupu na ni wahusika wa biashara hiyo.

Mapambano ya ndani ya wiki moja tu yaliyoongozwa na Paul Makonda yamethihirisha kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tena.

Ndani ya wiki moja yametokea haya.

1.Vigogo /mapapa wa biashara ya mihadarati wametajwa hadharani.
Siku zote walitajwa dagaa tu

2. Kila nyingi za madawa zimekamatwa

3. Zaidi ya hekari 500 za bangi zimekamatwa na kufyekwa.

4. Mateja wawili Mwanza wamekosa madawa ya kulevya hadi kufariki dunia.

5.Madawa ya kulevya yamepungua Dar hadi mateja wanajisalimisha wenyewe hospital kwa matibabu.

6. Bandari kubwa bubu za kuingizia madawa ya kulevya zimegundulika na kufungwa ikwemo ile kubwa kabisa kuliko zote kule Tanga.

7. Mateja wamepungua makao makuu ya chadema pale ufipa.

Sasa kama mafanikio haya yamepatikana ndani ya wiki moja,
Je bado tuendelee kuamini kuwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana??
Tafakari.
 
Siku zote unapojaribu kupambana na waovu ni vizuri kuhakikisha kwanza umekuwa safi kwanza wewe mwenyewe!

Hata vitabu vya dini vinatuasa kujisafisha kwanza na kutafuta haki ndipo tusogee karibu na Mungu!

Vinginevyo ukienda kichwa kichwa unaaibika mara mbili zaidi ya wale uliokuwa unawasaidia!
Hili ni funzo kwetu kwamba hatuna budi kuanza kuondoa uovu tulio nao ndipo tuwanyooshee wengine vidole

Tukutane jpili kwa baba mchungaji Gwajima
 
Wana tapa tapa tuu maji ya shingo.. Manji anakuja na kubwa kuliko hapo ndoo watawala.. Cjuw manabii wao ccm.. Watamtafuta ngariba wao alipo..jotoooo hiloo ccm na bado kabisa yaan

Sent from my C6833 using JamiiForums mobile app
 
mkuu ukizima taa wote tutakuwa hatuoni hivyo kutaleta mkanganyiko kwa yeyote utakaemshika utajiuliza huyu ndie au sie..?
 
Siku zote unapojaribu kupambana na waovu ni vizuri kuhakikisha kwanza umekuwa safi kwanza wewe mwenyewe!

Hata vitabu vya dini vinatuasa kujisafisha kwanza na kutafuta haki ndipo tusogee karibu na Mungu!

Vinginevyo ukienda kichwa kichwa unaaibika mara mbili zaidi ya wale uliokuwa unawasaidia!
Hili ni funzo kwetu kwamba hatuna budi kuanza kuondoa uovu tulio nao ndipo tuwanyooshee wengine vidole

Tukutane jpili kwa baba mchungaji Gwajima
Kesi ya madawa ya kulevya unanyongwa

Uchafu wa vyeti hauwezi kulingana na uchafu wa madawa ya kulevya
 
CIA wanashirikia katika madawa pia

Tanzania kumaliza biashara ya madawa
Hicho ni kitu kisichowezekena
 
Uko siriaz kabisa kwamba hii vita imefanikiwa? Una akili za kibashite
 
Kesi ya madawa ya kulevya unanyongwa

Uchafu wa vyeti hauwezi kulingana na uchafu wa madawa ya kulevya
Ni kweli basi kila mmoja ukweli ujulikane!
Muuzaji wa madawa akithibitika ashughulikiwe hivyo hivyo mwenye kufoji vyeti ashughulikiwe
 
Kwakweli vita siyo ngumu hata kidogo kama tulivyoaminishwa ila cha kushangaza hakuna drug lord aliyekamatwa na kutiwa hatiani mpaka sasa.


Nilidhani drug lords wanazo njia madhubuti za kuziba serikali na hata kuweza kuua ila sioni kitu.

Jamaa ni wepesi sana.

Makonda amenajisi mapambano dhidi ya madawa ya kulevya kutokana na mahusiano yake na watuhumiwa wakubwa wa biashara hiyo ambao ni GSM na Masogange pia kwa kufoji kwake cheti ametuhamisha kwenye hoja ya msingi ya madawa ya kulevya.


Maana kinachozungumzwa kuhusu mahusiano ya makonda na GSM na Masogange na kuhusu cheti chake ni vitu obvious na ni ya kawaida haiwezi ikawa ndo mbinu ya drug lords ambao tuliaminishwa kwamba ni watu hatari sana.

Atoe vyeti vita viendelee.
 
Miaka yote tumekuwa tukiambiwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana, na haiwezekani kuishinda.

Lakini kupitia mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda ,tumejifunza kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tukiwa serious.
Hao wanaopiga tantarila kuwa hii vita ni ngumu hawako serious ni waongo tupu na ni wahusika wa biashara hiyo.

Mapambano ya ndani ya wiki moja tu yaliyoongozwa na Paul Makonda yamethihirisha kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tena.

Ndani ya wiki moja yametokea haya.

1.Vigogo /mapapa wa biashara ya mihadarati wametajwa hadharani.
Siku zote walitajwa dagaa tu

2. Kila nyingi za madawa zimekamatwa

3. Zaidi ya hekari 500 za bangi zimekamatwa na kufyekwa.

4. Mateja wawili Mwanza wamekosa madawa ya kulevya hadi kufariki dunia.

5.Madawa ya kulevya yamepungua Dar hadi mateja wanajisalimisha wenyewe hospital kwa matibabu.

6. Bandari kubwa bubu za kuingizia madawa ya kulevya zimegundulika na kufungwa ikwemo ile kubwa kabisa kuliko zote kule Tanga.

7. Mateja wamepungua makao makuu ya chadema pale ufipa.

Sasa kama mafanikio haya yamepatikana ndani ya wiki moja,
Je bado tuendelee kuamini kuwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana??
Tafakari.
Baki na taarifa zako za kidhibiti dawa za kulevya humu humu Tandale usije ukajitokeza kwa watu wenye akili zao kimataifa na taarifa eti umeshinda au kudhibiti dawa za kulevya halafu unaonyesha takwimu za kukamata magunia ya mirungi na bangi maana kwa wenye akili zao hayo wala sio miongoni mwa dawa za kulevya.
 
Miaka yote tumekuwa tukiambiwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana, na haiwezekani kuishinda.

Lakini kupitia mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda ,tumejifunza kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tukiwa serious.
Hao wanaopiga tantarila kuwa hii vita ni ngumu hawako serious ni waongo tupu na ni wahusika wa biashara hiyo.

Mapambano ya ndani ya wiki moja tu yaliyoongozwa na Paul Makonda yamethihirisha kuwa vita ya dawa za kulevya siyo ngumu tena.

Ndani ya wiki moja yametokea haya.

1.Vigogo /mapapa wa biashara ya mihadarati wametajwa hadharani.
Siku zote walitajwa dagaa tu

2. Kila nyingi za madawa zimekamatwa

3. Zaidi ya hekari 500 za bangi zimekamatwa na kufyekwa.

4. Mateja wawili Mwanza wamekosa madawa ya kulevya hadi kufariki dunia.

5.Madawa ya kulevya yamepungua Dar hadi mateja wanajisalimisha wenyewe hospital kwa matibabu.

6. Bandari kubwa bubu za kuingizia madawa ya kulevya zimegundulika na kufungwa ikwemo ile kubwa kabisa kuliko zote kule Tanga.

7. Mateja wamepungua makao makuu ya chadema pale ufipa.

Sasa kama mafanikio haya yamepatikana ndani ya wiki moja,
Je bado tuendelee kuamini kuwa vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana??
Tafakari.
Ni jambo la kupongeza kwa mafanikio yaliyopatikana, taitizo kubwa ni namna ya kusimamia vitahiyo maana kuna mambo yanaanza kwa mhemko ila baada ya muda watu huzoea na kujisahau, ila kama hii ndiyo itakuwa desturi yetu ya watanzania basi tutafanikiwa
 
Back
Top Bottom