Je Ukweli Ni nini? Utengamano baina ya uthibitisho na uhalisia?hayakuwa mafunuo ila kufunika mpaka juu.
Au Ni wingi wa ushahidi wa Wengi zidi ya Jambo?
Au Kusema Jambo lisivyo kwa namna Jambo lilivyokuwa?
Je ukweli ukichanganywa na uongo hubaki ukweli?
Nataka kujua mamah!
Hapa Tulipo baadhi...
Habari,Afrika !!!
Kwanza Nianze kwa Kusema,Yupo Njiwa mpya, katika Nyumba mpya, aliyetolewa mbawa zake Ili apajue kwa mtunzaji wake,aliyebakiziwa mbili kulia na kushoto,Ategemeaye kupaa kila sehemu hapo mbawa zitakapoota,Na mtunzaji wa nyumba yake kazungushia zile mbawa kwa kuzichomeka kwa juu...
Hizi ni Himizo za mwisho na salamu kwa watu wote.
Kwa watanzania, watu wote,viumbe vyote,walio hai na walio pumzika,Ipo kwenu na iwazi sasa,(waebrania12;3), [webrania13;22-25].[/B]
Mimi mlango wangu, ambao ni wenu, kwetu sasa, ni ule mwembamba sana, wa juu kabisa mwishoni mwa yote.Humo ndimo...
Katika watu Ambao Wengi tunawakumbuka Kwa Masuala ya Uchaguzi Ni Ndugu Nape Moses Mnauye.
Wengi akitajwa Hukumbuka Nyakati za Goli la mkono Katika Mbingu ya nne Kama si Mlango wa Nne uliojaa ubinadamu kwa ukaribu Kama Kumtambua Chui jike Wa kirimanjaro Binti Yake Majaliwa na Bwana dubu muenzi...
Kambarage Wa butyama Yule baba Kashindikana,Upeo wake wengi Wajitafte,Sioni Hata mmoja kwa Chadema wajiitao wenye kichwa Chambuzi na Ishara Yao ya vidole viwili Kama wataweza kuwa na Akili ya Subira ya Katiba mpya inahitaji nini Maana, Kambarage Wa butyama Kashindikana kwa Kila Kitu ila Sioni wa...
Maisha ni hatua iliyojaa Mafumbo Mazito na yenye ukweli wa kuweza Kuaminiwa Badae.
Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki mzuri tu kuliko Hata hao wa kipaimara.
Kanisa hili Lina jina kuu la Mama la Makanisa,halijazuka tu...
Taa Ni neno asili la kile kitoacho Mwanga kwa ajili ya Watu Kuona,Au kuelewa kinachoendelea.Taa hii Ndo iliifanya Tanzania ikawa na Lugha moja Nzuri kutoka kwa Wahenga wetu inayounganisha Umoja wetu,Mfano Katika Habari dk 5 chombo kitaruka kote na Watu watalipokea Jambo na Kulielewa...
Mimi Ni Nani,Ni siri nzito na fumbo Kubwa
Yote yako Chini,Chini ya Bendera.Wapi?
Ebu kuta unajisoeza kwanza na NATURAL MYSTIC-BOB MARLEY Alafu tukapakue(Meza ya Coco the Rasta-alpha, Mhubiri6;9-10.)
Hapa Kenya,Kenya ya kufunga,Hapa Uganda,Uganda ya ule Moto,Hapa mashariki,Mashariki ya ile...
Kula uonacho,Chukueni BC yenu NIELEWENI,Nipeni AD Maua yangu NIELEWENI, kweli bila kufunika kikombe mwanaharamu haipiti,zililongwa mbali na zikatendwa Mbali,Sikia kazi yake ili kazi iendelee.
Na Ni Bora zaidi Kama kazi inaendelea,Basi yamefumbwa Mengi,Mengine Sababu Ni Nchi na dunia inahitaji...
Hivi naomba msaada, Hayati Magufuli alikaa siku 2300 hadi umauti, hii miradi kasi unaonaje tungempa Siku 1290 kufika 2025 uchaguzi ama tukampa tena siku 3335 kufika 2034 Kama mapenzi yetu(baadhi) ya Kwanza kuwa amalizie tu awe wa milele.
Nakumbuka Dr. Peter Slaa akiwa Clouds media 2018 alisema...
Nayi wa Mitego si mitego Kama ya Mwanamke ambaye Sulemani Katika Mhubiri kamzungumxia Eti lipo la uchungu kupita yote mwanamke ambaye Ni Mitego na Mikono yake Ni vifungo Yeye aliye na imani atamporochoka ila Yeye asiye na Mungu atanaswa naye.
Najua wamvumilia Yule Mwanamke ajiitaye nabii...
The wonderful Password,Give me a Pasword,a word of middle East.
A wonderful Number,A number of Pale Ni katikati ya Yule Muungwana aliyebalance idadi yao juu na Chini yaani alipiga tatu bila mbele yao na nyuma yao akijijenga Chamani,
Sasa Kingemfiaje na Kuruhusu Kichwa Chambuzi Kutumia Nguvu...
Sema:Hakuwa yeye (Isa) ila mtumwa tuliyemnemesha na tukamfanya mfano wa bana israel,hakika Yeye Ni dalili za alama za kiyama,( 1Timotheo12-19,Waraka wa waebrania7,Isaya 53, Mhubiri4;15,2wakorinto12,Kuran66).
Aliyekuwa adui wa Jibril Huyo ndo aliyeiteremsha kuran Moyoni mwako kwa idhini ya...
BARUA KWA ROSE.
Yah;Mbali na nyumbani na Kudra za Wazee.
Naam, nakuomba Husika na kichwa Cha habari kilicho Hapo juu.
Mimi Rafiki na ndugu yako, Kaka yako Bathoromayos (mama) na Toma(baba+Kaijage mwalimu) na watu wote Katika Taifa moja la Kusadikika na dunia moja ya Mungu Baba mmoja.
Kama...
Basi nikaona niulize maana ya hayo yakuwa yana maana gani badae, yeye akanambia yasome vizuri alafu uyaseme kwao maana hayana budi kutokea (habakuki 2~4) basi nikaona kama mnyama simba aliyeinuliwa kwa miguu miwili kisha akafunikwa na manyoya ya ajabu yaliyochafuka na watu baada ya mda wake...
Kuna chumba cha kinapangishwa maeneo ya makongo karibu na chuo cha Ardhi,kizuri kwa wanafunzi wa vyuo
Kodi ya mwezi ni kama 50,000/= tu hakina udalali kwa wanafunzi wa vyuo kama Ardhi,Udsm,Ubungo na maeneo mengine ya karibu karibuni.
Gerison Msigwa katika kikao na wanahabari amesema kuna unafuu wa bando nchini Tanzania kuliko kwingine kuliko watu wanavyodhani hii ni kutokana na kuwa kwenye tano bora ya nchi zinazotoa huduma nzuri ya bando chini ya sh. 2000 kwa GB 1 na kuna nchi zaidi ya dola 15 kwa GB 1.
Bilioni zaidi ya 40...
Habari wadau,Nina eneo langu lenye urefu Wa 20m upana na 30m upana sasa kuna kiramani nimeokoteza sehemu nimekapenda lakini naomba mtu atakaye nisaidia kujua foundation plan ya kajengo haka. Ikiwa urefu Wa nyumba ni 15m na upana ni 14m.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.